GeniusBrain
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 4,315
- 309
Hivi nani serikali hii atasikia kelele zetu, mzee wa magogoni, JK the explorer alishasema kelele za mlango hazimzuii yeye kupata usingizi pale magogoni. Pigeni kelele mwisho wa siku wanaendelea na mambo yao.Dah imekula kwetu tena....kelele zoooote kumbe ilikuwa kazi bure!
Kama wewe ni mmoja wa wahitimu wa udsm ndo siku zote unatapika pumba kiasi hicho, basi mi namshukuru Mungu sana sijasoma pale.
Sijaambua kitu hapo....Ufafanuzi please!!!!!
The PM says, he was asked by the President to deal with the matter. It is against the law for a PM to approve new rates.
Ni hivi..PM kawaambia wana habari (Ma-editor) kuwa kaagizwa na mkuu wa kaya ashughulikie suala la posho ya watu wa mjengoni pale Idodomya...Sasa Kamanda Zitto ana-wonder, inakuaje Mkulima anashughulia suala hilo yeti kwanza suala lenyewe halipo kisheria lakini vile vile hata kama lipo, sio yeye anayepaswa ku-deal nalo!
Mimi naona 200,000 ni kidogo sana kwa mbunge, unless uwe umeshawekeza kama Zitto kwenye ma biashara mengine.
Mimi naona 200,000 ni kidogo sana kwa mbunge, unless uwe umeshawekeza kama Zitto kwenye ma biashara mengine.
The PM says, he was asked by the President to deal with the matter. It is against the law for a PM to approve new rates.
Ni hivi..PM kawaambia wana habari (Ma-editor) kuwa kaagizwa na mkuu wa kaya ashughulikie suala la posho ya watu wa mjengoni pale Idodomya...Sasa Kamanda Zitto ana-wonder, inakuaje Mkulima anashughulia suala hilo yeti kwanza suala lenyewe halipo kisheria lakini vile vile hata kama lipo, sio yeye anayepaswa ku-deal nalo!
Kama kilichoandikwa ni kweli, kuna vacuum kwenye presidency.
Hata km ungesoma Havard usinge kataaa laki 2
Kweli ni ndogo sana. tatizo ni kukosekana kwa justification ya kuongeza kwa kiwango wanachoongeza Vs malipo ya watu wengineMimi naona 200,000 ni kidogo sana kwa mbunge, unless uwe umeshawekeza kama Zitto kwenye ma biashara mengine.
Kwani ubunge ni chanzo cha kujiongezea kipato? Wako pale kutumikia wananchi waliochagua. Maslahi ya wananchi kwanza,matumbo yao baadaye.