PM Confirm the New MPs Sitting Allowance

PM Confirm the New MPs Sitting Allowance

Biashara zipi hizo??

afadhali umemuuliza wewe mwenzake. Siasa zisizo na macho, zinazoangalia nani kapigwa bao hata hilo bao ni bao kwa wanancho wote, ni wehu na wendawazimu! Kichaa peke yake ndo anaweza kushangilia jambo hili.
 
Ubunge ni kazi nzito, wewe unatumwa na watu wenye mawazo mbalimbali halafu unayachambua na kuwakilisha bungeni. Posho ingekuwa $500 kwa siku
 
The PM says, he was asked by the President to deal with the matter. It is against the law for a PM to approve new rates.


Ni hivi..PM kawaambia wana habari (Ma-editor) kuwa kaagizwa na mkuu wa kaya ashughulikie suala la posho ya watu wa mjengoni pale Idodomya...Sasa Kamanda Zitto ana-wonder, inakuaje Mkulima anashughulia suala hilo yeti kwanza suala lenyewe halipo kisheria lakini vile vile hata kama lipo, sio yeye anayepaswa ku-deal nalo!

Hilo nalielewa swali langu ni:
*Rais anatupeleka wapi kwa kuacha PM ashughulikie jambo ambalo yeye Mkuu wa Kaya ana uwezo nalo moja kwa moja?

*Je, JK alisaini nyongeza ya posho bila kuelewa?

*Na Iwapo hajasaini kama wanavyotaka watu wa Ikulu tuamini, kwanini asiache kusaini tuone mwisho wa "kiherehere cha wapenda posho"?
 
Kugombea ubunge ni haki ya kila raia... Ukihitaji hizo laki 2, 2015 siyo mbali!!

Good na kupunguziwa ugumu wa maisha ni haki ya wabunge tuu kweli 2015 si karibu kwa walala hoi wasio na uhakika wa kuiona hata iyo kesho ikiwa ma doctor wataamua kiukweli
 
FaizaFoxy, Kapotolo... duuu....
Haiwezekani JF kutafuta utaratibu wa kusaidia wa Mirembe kabla ya kuwalilia kama wengine? Wasiwasi wangu, wakati wa misiba huwa tunaeleza mazuri tu.
 
Halafu huyu mzee pamoja na u-hovyo wake naye atakuja kuwa kwenye orodha ya ma-PM wastaafu! Kazi tunayo.
 
afadhali umemuuliza wewe mwenzake. Siasa zisizo na macho, zinazoangalia nani kapigwa bao hata hilo bao ni bao kwa wanancho wote, ni wehu na wendawazimu! Kichaa peke yake ndo anaweza kushangilia jambo hili.

Mwenzake kivipi???
 

The PM says, he was asked by the President to deal with the matter. It is against the law for a PM to approve new rates.

Hapo kwenye red: Kwa nini rais amrushie mpira Waziri mkuu? Sifa moja ya kuwa kiongozi ni kusimama kwenye mstari unaoelewaka. Huwezi kufarahisha kila mtu bali unatakiwa usimamie haki. Ama rais wetu anakubaliana na nyonogeza ya posho au hakubaliani nayo. Swali, je, yuko upande upi?
 
For the president to hand over part of his duties to PM just for the sake of escaping public reaction is in itself a flagrant failure by the head of state. How long shall this country afford to be led by such a spineless and trepid president who can not even discharge his own activities. It's time now we committed this land to someone else who has credentials for the job.
 
Kama wewe ni mmoja wa wahitimu wa udsm ndo siku zote unatapika pumba kiasi hicho, basi mi namshukuru Mungu sana sijasoma pale.
Mchukie mungu wako kwa kukukosesha marks za kuingia UDSM matokeo yake ukaenda vyuo vya waliofeli. Rejao ni level nyingine!
 
TanzAnia zaidi ya uijuavyo, mambo ya msingi watu hawayatilii maanani ila kama inawawezesha wao kula, wanatoa maamuzi bila hata kujali malalamiko ya wananchi wao, duh kweli ubunge mtamu
 
Madaktari wamegoma, wagonjwa wanataabika yote kwa sababu ya pesa lakini CCM wameona wao ndio wanastahili kulipwa vizuri!
 
Hivi elfu sabini walianza kuitoa kwa wabunge mwaka gani? Je tangia Zitto aingie bungeni alikuwa akiichukua au hapana. Na kama alikuwa anaichukua sasa hivi imekuwaje akaacha. Je kama zilianza kutolewa kipindi cha zamani amerudisha kiasi alichokichua kabla ya hapo?

Je mbunge akiwa Idodomya apart from getting Posho marupurupu mengine ni yapi? nafikiri kusema tu laki mbili hakutoshi kabla hatujaangalia mambo mengine. Tuorozeshe marupurupu yote kwa siku kwa ujumla na tuangalie mantiki ya kupata kiasi hiki.

nafikiri kutoka tu na posho posho hakusaidii. Tufanye analysis ya kutosha na tupate ulinganifu na nchi zote za africa Mashariki na ulumwengu kwa ujumla wenye data zenye mshiko watusaidie kwa hili maaana ninavyo ona ktk nchi kama tanzania tukienda bila data za kutosha hata watu watashindwa kufanya kazi.
 
Mchukie mungu wako kwa kukukosesha marks za kuingia UDSM matokeo yake ukaenda vyuo vya waliofeli. Rejao ni level nyingine!

hahahahaa.....pass mark ya UDSM ni bei gani? 40, 50 au 60?

Ulizia chuo chenye pass mark kubwa zaidi tz ni kipi halafu ndio uje kujisifu hapa.
 
Back
Top Bottom