MwanajamiiOne
Platinum Member
- Jul 24, 2008
- 10,470
- 6,562
Wanajamvi salamu!
Ni kwa muda sasa nimekuwa nikiwaza na kuwazua juu ya jambo hili. Since most of the times tunakuwa tunalia kutendwa kimapenzi na bahati mbaya sana tunatupiana lawama kila mara, je inawezekana kina kaka, shemeji na kina baba mkawa wawazi kwa kueleza ni vitu gani huwa mnavitamani kwa magalfried/wachumba au wake zenu? Yaani design ya sipendi/napenda
Swali hili liko direct kwa wanaume............nimefanya makusudi kuwauliza wanaume kwani ninaamini kabisa chochote mtakachosema, kina dada tutakuwa na either la kujitetea au kukiri hapa kwenu.
Hii ninaomba itumike kama njia mojawapo ya kuwasaidia walioko nje kama kujua nini kina kaka mnapenda kwa mwanamke na kuelewa iwapo kuna ugumu wowote wa kutekeleza mtakacho/mpendacho kutokana na experience za wanawake wengine. Pia kusaidia walioko ndani kurekebisha mambo kwa faida ya ndoa zao.
Nitaanza na nilichoambiwa na wa kwangu: Anapenda mwanamke ambaye yuko straight forward.........yaani amemuudhi/amekosea basi amwambie sio kununa nuna kama kuku aliye kwenye heat (haya ni maneno yake na si yangu..........sa sijui mie huwa ninanunanuna!!!)
Ni kwa muda sasa nimekuwa nikiwaza na kuwazua juu ya jambo hili. Since most of the times tunakuwa tunalia kutendwa kimapenzi na bahati mbaya sana tunatupiana lawama kila mara, je inawezekana kina kaka, shemeji na kina baba mkawa wawazi kwa kueleza ni vitu gani huwa mnavitamani kwa magalfried/wachumba au wake zenu? Yaani design ya sipendi/napenda
Swali hili liko direct kwa wanaume............nimefanya makusudi kuwauliza wanaume kwani ninaamini kabisa chochote mtakachosema, kina dada tutakuwa na either la kujitetea au kukiri hapa kwenu.
Hii ninaomba itumike kama njia mojawapo ya kuwasaidia walioko nje kama kujua nini kina kaka mnapenda kwa mwanamke na kuelewa iwapo kuna ugumu wowote wa kutekeleza mtakacho/mpendacho kutokana na experience za wanawake wengine. Pia kusaidia walioko ndani kurekebisha mambo kwa faida ya ndoa zao.
Nitaanza na nilichoambiwa na wa kwangu: Anapenda mwanamke ambaye yuko straight forward.........yaani amemuudhi/amekosea basi amwambie sio kununa nuna kama kuku aliye kwenye heat (haya ni maneno yake na si yangu..........sa sijui mie huwa ninanunanuna!!!)