Please Could You Be Honesty to Us?

MwanajamiiOne

Platinum Member
Jul 24, 2008
10,470
6,562
Wanajamvi salamu!

Ni kwa muda sasa nimekuwa nikiwaza na kuwazua juu ya jambo hili. Since most of the times tunakuwa tunalia kutendwa kimapenzi na bahati mbaya sana tunatupiana lawama kila mara, je inawezekana kina kaka, shemeji na kina baba mkawa wawazi kwa kueleza ni vitu gani huwa mnavitamani kwa magalfried/wachumba au wake zenu? Yaani design ya sipendi/napenda

Swali hili liko direct kwa wanaume............nimefanya makusudi kuwauliza wanaume kwani ninaamini kabisa chochote mtakachosema, kina dada tutakuwa na either la kujitetea au kukiri hapa kwenu.

Hii ninaomba itumike kama njia mojawapo ya kuwasaidia walioko nje kama kujua nini kina kaka mnapenda kwa mwanamke na kuelewa iwapo kuna ugumu wowote wa kutekeleza mtakacho/mpendacho kutokana na experience za wanawake wengine. Pia kusaidia walioko ndani kurekebisha mambo kwa faida ya ndoa zao.

Nitaanza na nilichoambiwa na wa kwangu: Anapenda mwanamke ambaye yuko straight forward.........yaani amemuudhi/amekosea basi amwambie sio kununa nuna kama kuku aliye kwenye heat (haya ni maneno yake na si yangu..........sa sijui mie huwa ninanunanuna!!!)
 
Napenda sana uwazi tena uliopitiliza siwezi kamwe kushindwana na mwanamke muwazi kama mimi nilivyo yaani namaanisha hata kama amegawa jana akisema ukweli nitamsamehe na kutafuta sababu ya kwa nini aligawa utamu wangu kwa mwingine na kama ni udhaifu wangu nirekebishe na kama ni wake nimsaidie lakini hii ya baadhi ya wanawake kujifanya wajuaji na kudharau upeo wa mwanaume wa kugundua mambo huwa inanikera kuliko chochote! Bai ze wei misi yoo MJ1
 
Mimi napenda variety. Yaani napenda wachuchu wa dizaini mbalimbali. Kwa mfano, napenda wanene, napenda vimobitel, napenda Wachaga, napenda Wamburu, napenda wenye nyonyo kubwa kubwa, napenda watundu watundu na walio wakorofi kiasi. Sipendi wapole kupindukia. Sipendi walokole ila pia sipendi wapagani.

Wale wanaopenda kujichubua mimi nina mzio nao. Nywele za kafaulaya naweza kuzivumilia.

Pia napenda wabunifu hususan kwenye maloveee. Napenda wasafi. Sipendi walio walevi kupindukia. Daaah yaani napenda dizaini nyingi mno. Sasa sijui kama nimejibu swali lako au ndo nimeharibu kabisa. Ila nimejibu kwa ukweli.
 
Wanajamvi salamu!

Ni kwa muda sasa nimekuwa nikiwaza na kuwazua juu ya jambo hili. Since most of the times tunakuwa tunalia kutendwa kimapenzi na bahati mbaya sana tunatupiana lawama kila mara, je inawezekana kina kaka, shemeji na kina baba mkawa wawazi kwa kueleza ni vitu gani huwa mnavitamani kwa magalfried/wachumba au wake zenu? Yaani design ya sipendi/napenda

Swali hili liko direct kwa wanaume............nimefanya makusudi kuwauliza wanaume kwani ninaamini kabisa chochote mtakachosema, kina dada tutakuwa na either la kujitetea au kukiri hapa kwenu.

Hii ninaomba itumike kama njia mojawapo ya kuwasaidia walioko nje kama kina Lizzy na Afro Denzi kujua nini kina kaka mnapenda kwa mwanamke na kuelewa iwapo kuna ugumu wowote wa kutekeleza mtakacho/mpendacho kutokana na experience za wanawake wengine.

Nitaanza na nilichoambiwa na wa kwangu: Anapenda mwanamke ambaye yuko straight forward.........yaani amemuudhi/amekosea basi amwambie sio kununa nuna kama kuku aliye kwenye heat (haya ni maneno yake na si yangu..........sa sijui mie huwa ninanunanuna!!!)

Kamanda... KWanza naomba nikushukuru from the central point of my heart kwamba ile support, i won!!

sasa hii message ya saa nane kasoro usku halafu unaomba tukupe mbinu za mchezo hii......... HAYA BHANA!!!
 
Mimi napenda variety. Yaani napenda wachuchu wa dizaini mbalimbali. Kwa mfano, napenda wanene, napenda vimobitel, napenda Wachaga, napenda Wamburu, napenda wenye nyonyo kubwa kubwa, napenda watundu watundu na walio wakorofi kiasi. Sipendi wapole kupindukia. Sipendi walokole ila pia sipendi wapagani.

Wale wanaopenda kujichubua mimi nina mzio nao. Nywele za kafaulaya naweza kuzivumilia.

Pia napenda wabunifu hususan kwenye maloveee. Napenda wasafi. Sipendi walio walevi kupindukia. Daaah yaani napenda dizaini nyingi mno. Sasa sijui kama nimejibu swali lako au ndo nimeharibu kabisa. Ila nimejibu kwa ukweli.
HII YA KAFAULAYA HII........:biggrin1:
 
Wanajamvi salamu!

Ni kwa muda sasa nimekuwa nikiwaza na kuwazua juu ya jambo hili. Since most of the times tunakuwa tunalia kutendwa kimapenzi na bahati mbaya sana tunatupiana lawama kila mara, je inawezekana kina kaka, shemeji na kina baba mkawa wawazi kwa kueleza ni vitu gani huwa mnavitamani kwa magalfried/wachumba au wake zenu? Yaani design ya sipendi/napenda

Swali hili liko direct kwa wanaume............nimefanya makusudi kuwauliza wanaume kwani ninaamini kabisa chochote mtakachosema, kina dada tutakuwa na either la kujitetea au kukiri hapa kwenu.

Hii ninaomba itumike kama njia mojawapo ya kuwasaidia walioko nje kama kina Lizzy na Afro Denzi kujua nini kina kaka mnapenda kwa mwanamke na kuelewa iwapo kuna ugumu wowote wa kutekeleza mtakacho/mpendacho kutokana na experience za wanawake wengine.

Nitaanza na nilichoambiwa na wa kwangu: Anapenda mwanamke ambaye yuko straight forward.........yaani amemuudhi/amekosea basi amwambie sio kununa nuna kama kuku aliye kwenye heat (haya ni maneno yake na si yangu..........sa sijui mie huwa ninanunanuna!!!)

Akishakuwa MKWELI ...unaoeleweka na kukubalika, mengine yote yatakuwa rahisi kwangu.
Kuishi na mwanamke muongo ni hatari sana!

Siku njema.
 
Kamanda... KWanza naomba nikushukuru from the central point of my heart kwamba ile support, i won!!

sasa hii message ya saa nane kasoro usku halafu unaomba tukupe mbinu za mchezo hii......... HAYA BHANA!!!

Mate, Mario Ocampo katangaza nafasi za kazi..........
 
Wanajamvi salamu!

Ni kwa muda sasa nimekuwa nikiwaza na kuwazua juu ya jambo hili. Since most of the times tunakuwa tunalia kutendwa kimapenzi na bahati mbaya sana tunatupiana lawama kila mara, je inawezekana kina kaka, shemeji na kina baba mkawa wawazi kwa kueleza ni vitu gani huwa mnavitamani kwa magalfried/wachumba au wake zenu? Yaani design ya sipendi/napenda

Swali hili liko direct kwa wanaume............nimefanya makusudi kuwauliza wanaume kwani ninaamini kabisa chochote mtakachosema, kina dada tutakuwa na either la kujitetea au kukiri hapa kwenu.

Hii ninaomba itumike kama njia mojawapo ya kuwasaidia walioko nje kama kina Lizzy na Afro Denzi kujua nini kina kaka mnapenda kwa mwanamke na kuelewa iwapo kuna ugumu wowote wa kutekeleza mtakacho/mpendacho kutokana na experience za wanawake wengine.

Nitaanza na nilichoambiwa na wa kwangu: Anapenda mwanamke ambaye yuko straight forward.........yaani amemuudhi/amekosea basi amwambie sio kununa nuna kama kuku aliye kwenye heat (haya ni maneno yake na si yangu..........sa sijui mie huwa ninanunanuna!!!)

Unajua MJ1, swali lako kiasi fulani liko too general,
nadhani unaweza usipate majibu unayotarajia kwa kiasi fulani,
au ukapata majibu mengi kutoka katika mitazamo tofauti ya swali lako,
Labda ningependa kufahamu kuwa hapa tunaangalia umbo la nje la mwanamke,
au tabia/hulka ya mwanamke kwa ujumla,
Binafsi naona kuna tofauti hapo, tukiwa tunaongelea umbo na sura ya nje ya mwanamke Vs tabia/hulka yake

MFANO: MWANAUME umeoa, kisha unasema kuwa unapenda mwanamke mnene, wakati mkeo ulie nae ni mwembamba,
sasa hapo sijui inakuwaje?

Labda MJ1, ningeomba ufafanuzi zaidi wa swali lako!!!!!!
 
Napenda sana uwazi tena uliopitiliza siwezi kamwe kushindwana na mwanamke muwazi kama mimi nilivyo yaani namaanisha hata kama amegawa jana akisema ukweli nitamsamehe na kutafuta sababu ya kwa nini aligawa utamu wangu kwa mwingine na kama ni udhaifu wangu nirekebishe na kama ni wake nimsaidie lakini hii ya baadhi ya wanawake kujifanya wajuaji na kudharau upeo wa mwanaume wa kugundua mambo huwa inanikera kuliko chochote! Bai ze wei misi yoo MJ1

Aksante Derimto, Missing you too

Mh hapo kwenye uwazi wa hivyo ni muhimu lakini mara nyingi huwa ni ngumu kusema ukweli. Halafu kuna sehemu nilisoma wanadai kwa mwanamke kutoka nje ya mahusiano huwa kuna kitu wamekosa kwenye current mahusiano yao but why asikwambie kwanza? mi sijui
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Mimi napenda variety. Yaani napenda wachuchu wa dizaini mbalimbali. Kwa mfano, napenda wanene, napenda vimobitel, napenda Wachaga, napenda Wamburu, napenda wenye nyonyo kubwa kubwa, napenda watundu watundu na walio wakorofi kiasi. Sipendi wapole kupindukia. Sipendi walokole ila pia sipendi wapagani.

Wale wanaopenda kujichubua mimi nina mzio nao. Nywele za kafaulaya naweza kuzivumilia.

Pia napenda wabunifu hususan kwenye maloveee. Napenda wasafi. Sipendi walio walevi kupindukia. Daaah yaani napenda dizaini nyingi mno. Sasa sijui kama nimejibu swali lako au ndo nimeharibu kabisa. Ila nimejibu kwa ukweli.

Hahahaha aksante Nyani Ngabu kwa kuwa muwazi loh............ nimependa ulivyoainisha uvipendavyo na usivyovipenda.

Umejibu swali langu nadhani mimi ndio nimejichanganya kwa kutokuspecify.....well nilichotaka kukilenga hapa ni tabia na mwonekano wa ujumla kwa mwanamke ambaye unaweza kumclassify kama a wife material
 
Unajua MJ1, swali lako kiasi fulani liko too general,
nadhani unaweza usipate majibu unayotarajia kwa kiasi fulani,
au ukapata majibu mengi kutoka katika mitazamo tofauti ya swali lako,
Labda ningependa kufahamu kuwa hapa tunaangalia umbo la nje la mwanamke,
au tabia/hulka ya mwanamke kwa ujumla,
Binafsi naona kuna tofauti hapo, tukiwa tunaongelea umbo na sura ya nje ya mwanamke Vs tabia/hulka yake

MFANO: MWANAUME umeoa, kisha unasema kuwa unapenda mwanamke mnene, wakati mkeo ulie nae ni mwembamba,
sasa hapo sijui inakuwaje?





Labda MJ1, ningeomba ufafanuzi zaidi wa swali lako!!!!!!







dah siku moja moja uwa una akil enhh
yap namimi pia nimeliona ilo kuna watu wanaanza kudiverge kujibu swali....
mwanajamii alimaanisha hulka ,tabia,mambo ambayo unataka ufanyiwe km mwanaume...ayo ambayo mnaenda kutafuta nje nini..


wengne ohh napenda mwembamba...mnene...ajamaanisha ivo

sasa wew mbona umeoa mwembamba na unaenda nje unamchukua tena mwembamba...ye alimaanisha mambo yetu yaleeeeeeeeeee na associates zake..aweje yaan ..akufanyiae nin?akupikie nin na mambo za sampuli io..lakin AJAMAANISHA KUULIZA JE UNAPENDA MWANAMKE MWEMBAMBA,MNENE,MFUP AU KIFUTU?

ELEWEN SWALI.

NAWASILISHA.
 
Mate, Mario Ocampo katangaza nafasi za kazi..........
hahahaaaaaaaaa.....

Mimi wasiwasi wangu ni hizi PhD mbili, ya Lizzy na ya MJ1; kama zinakaribia kutuweka nusu uchi humu

sasa nikisema napenda awe anavuta ganja watanielewa kweli??
 
Mwenzenu napenda mchuchu mweupe, mrefu, mwembamba (model), mchuchu msafi, mjanja, anaejua mapenz, mwenye kujali hisia zangu etc kifupi sipend madem wanene!
Gagurito mh so mie kwako sina nafasi?LOL
Haya kitabia, hulka je? ungependa mwanamke gani ambaye kwako unamdefine kama mke mwema?
 
okay........!

lakini the way i see myself ni kwamba I AM TOO DEMANDING..!

i want everything,of which is never possible as per HUMAN NATURE
 
15 Reactions
Reply
Back
Top Bottom