Ona hili nalo. Watu wanazungumzia nguo yeye kahamia kwenye ngari after ol huo sio wivu jamaa hapo kachemsha mbaya. Narudia tena mungu atusaidie watoto na wadogo zetu wasiige huu upuuzi na ujingaWivu tu....mbona hamuongelei gari gani hii
ile kwa ndani mbona kama kavaa pich ya kike? hivi kuna watu bado wanavaa hayo makitu ya zamani hadi leo/ mimi nikibaa hiyo boxer tu huw ainatosha naiacha inapumbua isibanwe, ila ile michoro naona kama pichu zilee za kishamba za zamani zinazofanana/tulizokuwa tunavaliana na wanawake?
Achana nae huyu mtu wa fashion. Fashion zenyewe za kisengerema mtu anakuja tetea eti fashion au kuiga iga tu.Umeeleweka.
Dunia ina mambo. Mwanaume kuvaa hivi loh.View attachment 471236labda ni muundo kama huu
Natamani Nyosso angekuwepo karibu aiseemichezo gani hio sasa
Natamani Nyosso angekuwepo karibu aisee
Pole kaka ndio ukubwa huo, omba mungu atakusaidia wakawa katika maadili mema.Hiki kizazi cha .com kinanipa mawazo sana, hasa kipindi hiki ambacho wanangu wanaelekea kupevuka....
Amen.....Pole kaka ndio ukubwa huo, omba mungu atakusaidia wakawa katika maadili mema.
Huo co ustar n ulembukenNdo shida ya ustaa