Platinumz kapiga sketi au sioni?

Platinumz kapiga sketi au sioni?

Ukiwa staa kwambali unatakiwa kama mjinga flan hivi kwa mtazamo
 
hizo ni fashion ambazo anazivaaga sana diamond wala sio mara moja kavaa, wakati mwingine anavaaga bukta pana halafu ndani anavaa suruali ya bandage ( bandage ni nguo za kushika mwili ambazo ni moja ya fashion) na koti la suti!!

mara nyingi tu anavaaga ni FASHION. kwa msanii mpenda fashion kuvaa hivo kawaida kabisa.
na hauwezi kuvaa hio sketi bila suruali ya bandage! utachekesha ,ndio maana wanaita fashion
Umeeleweka.
 
Mavazi mengine ni ya kijinga kabisa si kila mambo yanayofanyika ng'ambo tuige. Hapo ina maanisha nini kwa wanaume wanaovaa hivi? Nahisi ni nusu mwanaume nusu mwanamke
Punde tutamgonga
 
Back
Top Bottom