Platinumz kapiga sketi au sioni?

Platinumz kapiga sketi au sioni?

ff0af15e4694d1a2976f27cd379f444c.jpg
Tuwaulize fashion designers labda...Martin kadinda..Mustafa Hassanali and Ally Remtula
 
Hawa wasanii wafike mahali waone kuna haja ya kujiheshimu, hasa ukishakuwa na familia. Hivi akivaa suruali ya kawaida atabadilisha nini, huwa hawana washauri au?? Angejua anavyochukiza na huto tu miguu na skin wapi na wapi!!!
 
hizo ni fashion ambazo anazivaaga sana diamond wala sio mara moja kavaa, wakati mwingine anavaaga bukta pana halafu ndani anavaa suruali ya bandage ( bandage ni nguo za kushika mwili ambazo ni moja ya fashion) na koti la suti!!

mara nyingi tu anavaaga ni FASHION. kwa msanii mpenda fashion kuvaa hivo kawaida kabisa.
na hauwezi kuvaa hio sketi bila suruali ya bandage! utachekesha ,ndio maana wanaita fashion
 
Back
Top Bottom