2hery
JF-Expert Member
- May 27, 2011
- 4,700
- 4,616
Michezo ya jogoo...inama kidogo.....michezo gani hio sasa
Michezo ya jogoo...inama kidogo.....michezo gani hio sasa
List ya Kigangwal katafute jina lake pengine!Kwani huyu jamaa ni mwanachama wa 0712?
Ngari ndo nini dogoOna hili nalo. Watu wanazungumzia nguo yeye kahamia kwenye ngari after ol huo sio wivu jamaa hapo kachemsha mbaya. Narudia tena mungu atusaidie watoto na wadogo zetu wasiige huu upuuzi na ujinga
Na yeye yumo kwa wale waliosomwa na Makonda?
Sifahamu Mkuu! Ila awamu ya kwanza hakuwepo na ya pili vile vile... Haumaanishi ya KingangwalNa yeye yumo kwa wale waliosomwa na Makonda?