stevoh
JF-Expert Member
- Dec 5, 2011
- 2,921
- 1,104
kwa wale ambao ni wana jamvi nawasalimu kwanza wakubwa SHIKAMOO na rika langu HABARI YAKO MSOMAJI!.
Ninaomba kwa wale wanaotoa maoni yao au wanaoandika "threads" uzi kwa jina lingine hapa jukwaani naombeni mzingatie katika "UANDISHI" jitahidi mtoa mada au mchangiaji atumie "LUGHA INAYOSOMEKA NA KUELEWEKA" ili waweze kufikisha "UJUMBE" Uliokusudia kwani wapo watu wa "RIKA" tofauti tofauti ambao baadhi yao "WATAWEZA KUSOMA NA WENGINE WATASHINDWA" Hivyo kushindwa kufikisha ujumbe uliokusudiwa.
Naomba kusisitiza
"MATUMIZI YA LUGHA YAANI UANDISHI"
Naomba KUWASILISHA.
Ninaomba kwa wale wanaotoa maoni yao au wanaoandika "threads" uzi kwa jina lingine hapa jukwaani naombeni mzingatie katika "UANDISHI" jitahidi mtoa mada au mchangiaji atumie "LUGHA INAYOSOMEKA NA KUELEWEKA" ili waweze kufikisha "UJUMBE" Uliokusudia kwani wapo watu wa "RIKA" tofauti tofauti ambao baadhi yao "WATAWEZA KUSOMA NA WENGINE WATASHINDWA" Hivyo kushindwa kufikisha ujumbe uliokusudiwa.
Naomba kusisitiza
"MATUMIZI YA LUGHA YAANI UANDISHI"
Naomba KUWASILISHA.