Tag lako SI nipo we niambie nikuleteeUku pori kuyapata shida
Tag lako SI nipo we niambie nikuleteeUku pori kuyapata shida
Aisee labda uwe mtaalamu sana manake wengi wakipikia kwenye jiko la gesi au rice cooker basi unatoka bokoboko ila kwenye jiko la mkaa ndio huwa wanapatia vizuriWaoga tu na jiko jiko la gesi wali unatoka umenyooka vzr tu ukipika bila haraka
Kwamba nikipeleka barua itakataliwa 😂We jamaa, usipokuwa makini hutaoa
Ngoja nikupeTag lako SI nipo we niambie nikuletee
Siri ni kucheza na moto tuAisee labda uwe mtaalamu sana manake wengi wakipikia kwenye jiko la gesi au rice cooker basi unatoka bokoboko ila kwenye jiko la mkaa ndio huwa wanapatia vizuri
Au sio😂😂😂😂😂🤣
Mapishi ya watu wa bara hayo, dah!!
Watampiga nani wasikubali kulazimisha swaumu tu.Una wachokoza utapigwa 😂😂 Malaria 2
Haahah ila we jamaaWatampiga nani wasikubali kulazimisha swaumu tu.
Njoo ule mkuuNdugu mzatamaji pameanza kuchangamka
Inahitaji moyo kuvumilia swaumu we unadhani kwanini zanzibari wakikuona unakula wanakutia fimbo.?WIVU N A TAMAA.Haahah ila we jamaa
Sio kwamba una washawishi na wao kufunguliaInahitaji moyo kuvumilia swaumu we unadhani kwanini zanzibari wakikuona unakula wanakutia fimbo.?WIVU N A TAMAA.
Ila lile pishi la dagaa na ugali lilikuwa bomba sana..... Anyway big up🚶Au sio
Kwanini washawishike,yaani mapenzi yafanyike unguja mimba ikanase michenzani.Sio kwamba una washawishi na wao kufungulia
Lengo mabachela waache kujazana kwa mama ntilieIla lile pishi la dagaa na ugali lilikuwa bomba sana..... Anyway big up🚶
Mabachela n wengi hum wanaokota kitu
Una maneno ase 😂😂😂 we kiboko mtu wa pwani nn?Kwanini washawishike,yaani mapenzi yafanyike unguja mimba ikanase michenzani.
Nimechanganya uswahili wa namna zote.Ila ni mbara mwindajiUna maneno ase 😂😂😂 we kiboko mtu wa pwani nn?