PISHI: Wali mixer by tambi

PISHI: Wali mixer by tambi

Hellow mchana mwema

Leo tupike hiki chakula asili yake Madam B atasema

Kwanza chukua tambi zako ulizo kataka ndogo ndogo kisha weka kwenye sufuria ya mafuta yalio chemka kisha anza kuzikaanga mpaka zibadirike rangi na kuwa kahawia zisiungue
View attachment 3287755
Baada ya hapo chukua mchele wako ulio uosha kisha tia kwenye sufuria anza kuukaanga na tambi
View attachment 3287762
Baada ya hapo weka maji yako kama una tui la nazi tumia mimi nazi nakuja kuweka baadae baada ya maji kupungua kidogo
View attachment 3287764Kisha funika na upunguze moto moto weka mdogo kabisa na ukaee kwa muda mrefu
Baada ya hapo mm nikaweka nazi kisha nikageuza nikaacha nikaanza kupika mboga
View attachment 3287767
Mboga kwa mimi natumia kuku rosti na wewe unaweza tumia samaki au nyama mboga yoyote ulio nayo
Nilianza kukaanga kuku kwanza
View attachment 3287770
Kisha nikaweka vitunguu pamoja na hoho na karoti
View attachment 3287771
Kisha nikaweka nyanya nilio saga
View attachment 3287774
Baada ya nyanya kuiva nikaweka nazi
View attachment 3287776
Baada ya hapo nipo nakula karibuni sana wote
View attachment 3287778
Nipo tayari kwa kusimangwa 😂
Ungejua usivyojua kupika, na upikaji wako ulivyo wa kishamba, usingethubutu kuweka picha hapa. Kwanza karne ya leo hizi sufuria hazitumiwi tena na watu wenye weledi.
 
Mdogo angu Mwachiluwi andaa site tufungue restaurant tu, me naweka Mtaji wewe unaweka ujuzi

Kama wateja tayari tumepata humu humu.

Kwa maana nimepitia maoni ya Wadau humu,

Wengi mate yamewadondoka Kwa hayo masoltojo 😋😋

Ila kusema kweli, sijawahi kula mseto wa aina hiyo pamoja na kwamba nimekula chumvi nyingi 🤗
Hiji chakula hasili yake uko 🇲🇦 hahahh wateja humu wapo wengi ngoja tuangalie makumbusho pale
 
Hayo Maziwa Fresh Siku Jaribu Na Chapati Za Kumimina Mix By Mayai,,Naamini Utanishukuru Mida
 
Umesema tambi zisiungue mbona wewe umeunguza?? 😹😹
 
Hellow mchana mwema

Leo tupike hiki chakula asili yake Madam B atasema

Kwanza chukua tambi zako ulizo kataka ndogo ndogo kisha weka kwenye sufuria ya mafuta yalio chemka kisha anza kuzikaanga mpaka zibadirike rangi na kuwa kahawia zisiungue
View attachment 3287755
Baada ya hapo chukua mchele wako ulio uosha kisha tia kwenye sufuria anza kuukaanga na tambi
View attachment 3287762
Baada ya hapo weka maji yako kama una tui la nazi tumia mimi nazi nakuja kuweka baadae baada ya maji kupungua kidogo
View attachment 3287764Kisha funika na upunguze moto moto weka mdogo kabisa na ukaee kwa muda mrefu
Baada ya hapo mm nikaweka nazi kisha nikageuza nikaacha nikaanza kupika mboga
View attachment 3287767
Mboga kwa mimi natumia kuku rosti na wewe unaweza tumia samaki au nyama mboga yoyote ulio nayo
Nilianza kukaanga kuku kwanza
View attachment 3287770
Kisha nikaweka vitunguu pamoja na hoho na karoti
View attachment 3287771
Kisha nikaweka nyanya nilio saga
View attachment 3287774
Baada ya nyanya kuiva nikaweka nazi
View attachment 3287776
Baada ya hapo nipo nakula karibuni sana wote
View attachment 3287778
Nipo tayari kwa kusimangwa 😂
Mkuu,unaweza kunifundisha kuandaa supu ya kabeji na juisi ya bamia?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom