Nomadiq
JF-Expert Member
- Jan 5, 2025
- 7,944
- 20,982
haha sometime naamua kula ugali na avocadoDaaah! We unaweza mix hata wali na ugali kwa pamoja
haha sometime naamua kula ugali na avocadoDaaah! We unaweza mix hata wali na ugali kwa pamoja
Mkuu njoo ule utibie tumboNjaa ni hatari yani nimeona hiko chakula minyoo inaruka tumboni
Bahati nzuri wanakujua kwenye mapishi so kutokujifunza kupika ni uzembe wao.Wambie uzuri wake
Kuku ni kitu cha kukutambia ?Kuna sauti ndani ya moyo inaniambia kama vile umetaka kutuonesha kuwa umepika wali kuku ila ngoja nipite kushoto mimi na pishi wapi na wapi
😂😂Bahati nzuri wanakujua kwenye mapishi so kutokujifunza kupika ni uzembe wao.
mkuu wali unapika kwenye jiko la gesi...utakua mzoefu sana manake wadada wenyewe wanashindwa kupikia wali kwenye jiko la gesi wanapendelea jiko la mkaaHellow mchana mwema
Leo tupike hiki chakula asili yake Madam B atasema
Kwanza chukua tambi zako ulizo kataka ndogo ndogo kisha weka kwenye sufuria ya mafuta yalio chemka kisha anza kuzikaanga mpaka zibadirike rangi na kuwa kahawia zisiungue
View attachment 3287755
Baada ya hapo chukua mchele wako ulio uosha kisha tia kwenye sufuria anza kuukaanga na tambi
View attachment 3287762
Baada ya hapo weka maji yako kama una tui la nazi tumia mimi nazi nakuja kuweka baadae baada ya maji kupungua kidogo
View attachment 3287764Kisha funika na upunguze moto moto weka mdogo kabisa na ukaee kwa muda mrefu
Baada ya hapo mm nikaweka nazi kisha nikageuza nikaacha nikaanza kupika mboga
View attachment 3287767
Mboga kwa mimi natumia kuku rosti na wewe unaweza tumia samaki au nyama mboga yoyote ulio nayo
Nilianza kukaanga kuku kwanza
View attachment 3287770
Kisha nikaweka vitunguu pamoja na hoho na karoti
View attachment 3287771
Kisha nikaweka nyanya nilio saga
View attachment 3287774
Baada ya nyanya kuiva nikaweka nazi
View attachment 3287776
Baada ya hapo nipo nakula karibuni sana wote
View attachment 3287778
Nipo tayari kwa kusimangwa 😂
Wanakosekana walaji 😂Haka kajamaa bwaNA karono sana.MKUU MWACHILUWI NIMEKUVULIA NJUMU UKO KISAWASAWA KWENYE MAAKULI.
Aisee wale wanaufungaga swaumu nusu kilo wakiona hizi nyuzi swaumu inaangukia kwa road.Wanakosekana walaji 😂
mkuu wali unapika kwenye jiko la gesi...utakua mzoefu sana manake wadada wenyewe wanashindwa kupikia wali kwenye jiko la gesi wanapendelea jiko la mkaa
Usiogope kusimangwa hii sekta ni yako ila siku nyengine ongezea na majani ya mapera kwenye pishi lakoNipo tayari kwa kusimangwa
Hiki chakula mbona kinalika ata hotel kubwa ukienda ukiagiza utaletewaUfujaji tu wa chakula
Uku pori kuyapata shidaUsiogope kusimangwa hii sekta ni yako ila siku nyengine ongezea na majani ya mapera kwenye pishi lako