Kiingilio 20000 ila unakula mpka uchoke wew pale pana utuluvu tena pamejifich ukiwa na mchepuko uonekaniSijawahi kufika, labda niende weekend ijayo kuosha macho
hahaaa nimecheka mkuu. kweli kwa mchanganyiko huu lazima wadau wakusimange tu. nami nasema wakusimange tuuu.Hellow mchana mwema
Leo tupike hiki chakula asili yake Madam B atasema
Kwanza chukua tambi zako ulizo kataka ndogo ndogo kisha weka kwenye sufuria ya mafuta yalio chemka kisha anza kuzikaanga mpaka zibadirike rangi na kuwa kahawia zisiungue
View attachment 3287755
Baada ya hapo chukua mchele wako ulio uosha kisha tia kwenye sufuria anza kuukaanga na tambi
View attachment 3287762
Baada ya hapo weka maji yako kama una tui la nazi tumia mimi nazi nakuja kuweka baadae baada ya maji kupungua kidogo
View attachment 3287764Kisha funika na upunguze moto moto weka mdogo kabisa na ukaee kwa muda mrefu
Baada ya hapo mm nikaweka nazi kisha nikageuza nikaacha nikaanza kupika mboga
View attachment 3287767
Mboga kwa mimi natumia kuku rosti na wewe unaweza tumia samaki au nyama mboga yoyote ulio nayo
Nilianza kukaanga kuku kwanza
View attachment 3287770
Kisha nikaweka vitunguu pamoja na hoho na karoti
View attachment 3287771
Kisha nikaweka nyanya nilio saga
View attachment 3287774
Baada ya nyanya kuiva nikaweka nazi
View attachment 3287776
Baada ya hapo nipo nakula karibuni sana wote
View attachment 3287778
Nipo tayari kwa kusimangwa 😂
Ngoja niangalie namna ya kwenda na binti wa Mwaka elfu 2 😜Kiingilio 20000 ila unakula mpka uchoke wew pale pana utuluvu tena pamejifich ukiwa na mchepuko uonekani
Atakuona mjanja sana kumbe mzeeNgoja niangalie namna ya kwenda na binti wa Mwaka elfu 2 😜
Hahaha....😅🙌Atakuona mjanja sana kumbe mzee
Kweli nakwambiaHahaha....😅🙌
Ngoja niangalie kama nitaweza kuvaa tisheti na jeans kama Vijana sasa 😜Kweli nakwambia
Ngoja niangalie kama nitaweza kuvaa tisheti na jeans kama Vijana sasa 😜
Piga na airforce kabisa
Et minyooAisee bonge la ubunifu ,yaani hapa wali kidogo hapa tambi kidogo na kipaja ila kwangu ukiniletea huo msosi nayachambua matambi yote nayatupa huko ,siyapendi yananuka kama nakula maminyoo.
Kaka wee ni nouuma sanaQUOTE="Mwachiluwi, post: 53308296, member: 662681"]
Hellow mchana mwema
Leo tupike hiki chakula asili yake Madam B atasema
Kwanza chukua tambi zako ulizo kataka ndogo ndogo kisha weka kwenye sufuria ya mafuta yalio chemka kisha anza kuzikaanga mpaka zibadirike rangi na kuwa kahawia zisiungue
View attachment 3287755
Baada ya hapo chukua mchele wako ulio uosha kisha tia kwenye sufuria anza kuukaanga na tambi
View attachment 3287762
Baada ya hapo weka maji yako kama una tui la nazi tumia mimi nazi nakuja kuweka baadae baada ya maji kupungua kidogo
View attachment 3287764Kisha funika na upunguze moto moto weka mdogo kabisa na ukaee kwa muda mrefu
Baada ya hapo mm nikaweka nazi kisha nikageuza nikaacha nikaanza kupika mboga
View attachment 3287767
Mboga kwa mimi natumia kuku rosti na wewe unaweza tumia samaki au nyama mboga yoyote ulio nayo
Nilianza kukaanga kuku kwanza
View attachment 3287770
Kisha nikaweka vitunguu pamoja na hoho na karoti
View attachment 3287771
Kisha nikaweka nyanya nilio saga
View attachment 3287774
Baada ya nyanya kuiva nikaweka nazi
View attachment 3287776
Baada ya hapo nipo nakula karibuni sana wote
View attachment 3287778
Nipo tayari kwa kusimangwa 😂