chuwaalbert
JF-Expert Member
- Sep 17, 2010
- 3,598
- 2,115
Kwa kweli kwenye red nimeshindwa kuelewa kbs,
hizo formulation ndo zilileta tabu jana!
watu wameng'ang'ana afu leo wawe wameomba khaa!
isomeke hiviiiiiiiiiii "AG, MP wamelazimishwa kujihuduhuru japo bado wanakipenda madaaka yao"., si imekaa vzr jamani, eti Moderator si isimoke hivyo eheee!
mwingine achangie namna ya kuformulate plz.
Ndugu umenikumbusha MSAMIATI wa Bibi jana. Hapa BASATA yabidi watafute neno mwafaka la Kiswahili. Jana LILITAWALA sana mpaka pale Mnyantuzu alipo FOMULATE kafrezi kalikochafua hali ya hewa Mjengoni!