Job K
JF-Expert Member
- Oct 4, 2010
- 9,315
- 7,113
Hiki kizee nacho kimezidi kukurupuka tu! Sasa kimesahau kuwa juzi chenyewe kimeletewa VX8 eti kikadhira! Nakusubiri Mh. na hayo maagizo yako yasiyokuwa na kichwa wala miguu mara nisione Afisa Kilimo na Mifugo amevaa vizuri/suti. UTANIKUTA UONE NITAKAVYOKUTOA MBIO! Kwani hao siyo maafisa? Huwezi kuwalazimisha wafanane na wakulima bwana!! Huo ni udharirishaji