Pinda ataka Rais apunguziwe Madaraka

Pinda ataka Rais apunguziwe Madaraka

Nimepitia huu uzi zaidi ya mara 10 sijaona hiyo sehemu CCM wanataka madaraka ya rais yapunguzwe labda macho yangu na huu uzee sijui miwani yangu ipo wapi.
Mkuu hao ndiyo bavicha bana akili yao wanaijua wenyewe utadhani walichemshwa kwenye maji ya moto baada ya kuzaliwa akili zikayeyuka.
 
Moto wa magufuli mwisho kwa maofisa wa mkwere tu wa nkapa hagusi ng'o
 
Naamini hivi sasa wao ndio wanaisoma namba kuliko hata wapinzani kwa anayoyafanya Magufuli.

Sina shaka hivi sasa nao wameanza kuonja machungu ya madaraka makubwa ya kikatiba aliyonayo raisi na pengine wanatamani yapunguzwe na sitashangaa kuwasikia wakidai hadharani madaraka ya raisi yapunguzwe au hata kuwatumia wapinzani.

Muosha, huowoshwa.
Haaa haaaa , ndio tatizo la kupinga kila kitu ili mradi may be now watazinduka na kuvielewa vitu na kuvisimamia
 
Nimepitia huu uzi zaidi ya mara 10 sijaona hiyo sehemu CCM wanataka madaraka ya rais yapunguzwe labda macho yangu na huu uzee sijui miwani yangu ipo wapi.
Mzee umeugeuza nyuma huu uzi?,angalia kuna sehemu imeandikwa p.t.o!!!
 
Akiwa ARUSHA hivi karibuni kasema atatumbua majipu mpaka kwny vyama cha Siasa. CCM ikianza then atahamia kwenye Ruzuku za vyama cha Siasa pamoja na Fedha za ofisi ya Kiongozi wa Upinzani ( KUB) asizichezee kama wakati ule wa Chotara wa Kikwere anachukua pesa za Bunge anapelekea nje Viti maalum kujadili 'Maendeleo ya nchi'Dubai atakwenda na Maji.
Baada ujadili mambo ya msingi unajadili mambo ya mtu binafsi, au ulitaka Dubai upelekwe wewe mkuu maana una wivu balaaa
 
Nimepitia huu uzi zaidi ya mara 10 sijaona hiyo sehemu CCM wanataka madaraka ya rais yapunguzwe labda macho yangu na huu uzee sijui miwani yangu ipo wapi.
Si unajua Bavicha wakisha kunywa viroba?
 
kwa sasa magu anamshughulikia mkwere. haaa haa twende baba go gooo....waisome namba.
 
Hivi kuna Mwana ccm yoyote anataka kukasikia kale kanyimbo walichokua wanakaweka kwenye kampeni sikumbuki hata kalikua kanasemaje maana kamewaumbua sana hawa magamba hawakujua wanaimba kitu kinachokuja kuwamaliza na baado mpango mzima ni ukawa
 
Tuliwaambia ila wao kila wazo linalotoka upande wa pili wanadhani ni la uadui hivyo wanalikataa tuu.
Natamani Magufuli atumie vibaya madaraka yake na sio kuwafukuza tuu bali sasa awacharaze na viboko wale wote walio hujumu nchi kwa msaada wa ccm
Walio hujumu nchi
Hahaha ujue Lowassa anashida hapo
 
Hakuna kigeni hapo! Malengo ya Magufuli yalikuwa wazi...mwenye masikio alisikia toka siku ya kwanza ya kampeni...na ndo maana baadhi ya mafisadi walianza kukimbia mapema! Moto wa huyu mzee tunashuhudia hadi upinzani hawaufurahii...Mungu amlinde mzeewetu kwenye hivi vita vikali...
Upo sawasawa mkuu
 
Naona mmeishiwa
Na mnatafuta lipi mtoke nalo
Magufuli anayo yafanya aliahidi kipindi cha kampeni
Kama mmekosa lakuongea mnaweza kwenda kumpigia Deki Lowassa kisha mje muanzishe mada
 
Ngoja kwanza...kwahiyo mlipendekeza katiba mpya ili rais asiwe na uwezo wa kupambana na wahujumu-uchumi?
2. Kucharaza viboko wahujumu uchumi ni matumizi mabaya ya madaraka?? Hebu fafanua ndugu
Wanajifurahisha hao
 
Baada ujadili mambo ya msingi unajadili mambo ya mtu binafsi, au ulitaka Dubai upelekwe wewe mkuu maana una wivu balaaa
Elewa Muktadha! Kishapeleka wengi na haikuwa habari wala hatukujulishwa.
Kutumia fedha za umma kwenda kufiligisana ndio tatizo sio kufiligisana kwenyewe ndo tatizo.
 
Back
Top Bottom