Pinda ataka Rais apunguziwe Madaraka

Pinda ataka Rais apunguziwe Madaraka

Walio hujumu nchi
Hahaha ujue Lowassa anashida hapo
Acha Lowassa hata kama ni mjomba wangu kakwiba, nitaunga mkono kuwajibishwa kwake. Tusinakie tunapiga kelele za hisia tuu eti flani kaiba, mkiulizwa kaiba nini majibu ni kuwa mbona walisema walisema walisema.
Hivi kama kuna kitu kiko wazi kwa Lowassa kigugumizi cha nini? Mnamwogopa kwa nini? Kama ni jipu sii mumtumbue? Tumechoka na vijimaneno maneno kama mashangingi wakati mtu hana kinga ya kutoshtakiwa na mnamshindwa.
 
Naamini hivi sasa wao ndio wanaisoma namba kuliko hata wapinzani kwa anayoyafanya Magufuli.

Sina shaka hivi sasa nao wameanza kuonja machungu ya madaraka makubwa ya kikatiba aliyonayo raisi na pengine wanatamani yapunguzwe na sitashangaa kuwasikia wakidai hadharani madaraka ya raisi yapunguzwe au hata kuwatumia wapinzani.

Muosha, huowoshwa.
...
 
baba magufuli majipu mengine yapo huku jf tunakuomba uje utumbue na huku maana yanajifanya yanajua sana kukosoa nakuomba sana rais wangu anza na hili jipu linalosoma comment hii sasa hivi
 
Leo baada ya kumsikiliza Mhe. Membe nimegundua tunahitaji KUMUOMBEA Mhe. Rais Dr. JPM na TZ yetu kuliko tunavyofikiri.

Queen Esther

Hakuna kigeni hapo! Malengo ya Magufuli yalikuwa wazi...mwenye masikio alisikia toka siku ya kwanza ya kampeni...na ndo maana baadhi ya mafisadi walianza kukimbia mapema! Moto wa huyu mzee tunashuhudia hadi upinzani hawaufurahii...Mungu amlinde mzeewetu kwenye hivi vita vikali...
 
Yaani MAGUFULI wapinzani tumepata mtu safi anayewaminya ma CCM ipasavyo.....

Tunamwombea arudishe katiba ya warioba
 
Leo baada ya kumsikiliza Mhe. Membe nimegundua tunahitaji KUMUOMBEA Mhe. Rais Dr. JPM na TZ yetu kuliko tunavyofikiri.

Queen Esther

hahahaha. ..sisi CHADEMA Tunafurahi sana...mlidhani sisi ndio tutaisoma namba...la hashaaa....ni nyie wenyewe CCM kwa sababu ni nyie mlioifikisha hii nchi hapa...pathetic
 
mpaka sasahivi lowasa hajaguswa...tunawasubiri...njia ya mnafiki ni fupi sana...nchi hii mtu akiwa na guts za kuhamia upinzani maana yake anajiamini kuhusu usafi wake.


Walio hujumu nchi
Hahaha ujue Lowassa anashida hapo
 
Naamini hivi sasa wao ndio wanaisoma namba kuliko hata wapinzani kwa anayoyafanya Magufuli.

Sina shaka hivi sasa nao wameanza kuonja machungu ya madaraka makubwa ya kikatiba aliyonayo raisi na pengine wanatamani yapunguzwe na sitashangaa kuwasikia wakidai hadharani madaraka ya raisi yapunguzwe au hata kuwatumia wapinzani.

Muosha, huowoshwa.
magufuli endelea kukamua majipuuuu hakuna kupunguziwa madaraka siwalitaka wenyewe
 
Nimepitia huu uzi zaidi ya mara 10 sijaona hiyo sehemu CCM wanataka madaraka ya rais yapunguzwe labda macho yangu na huu uzee sijui miwani yangu ipo wapi.

Subiri wapo wanaolalamika sana tu.Ujue kuna wengine waliishi kwa kutumia BENDERA ya CCM na kila kitu kikaenda sawa.Muda ni dawa..........Na lisemwalo lipo kama halipo laja
 
Back
Top Bottom