RockSpider
JF-Expert Member
- Feb 16, 2014
- 6,859
- 2,758
Natamani Upinzani wachukue nchi huku madaraka ya Rais yawe makubwa hivi hivi ... 2020 si mbali ... tuvute subira
ndio maana tunataka katiba mpyawewe zako anazijua nani? hiyo ni.privacy ata katiba hapo ilikosea
Usifikili watanzania wote ni misukule, tunaelewa unavyojaribu kipiga kiki chama cha majipu(CCM) hakuna jipya ccm ni ile ile,ni usanii tu usiona maana wa kukonga mashabiki misikule. wengi tunaona na tunaelewa usanii tupu unaofanyika. majiccm yote lao moja usidanganyikeNaamini hivi sasa wao ndio wanaisoma namba kuliko hata wapinzani kwa anayoyafanya Magufuli.
Sina shaka hivi sasa nao wameanza kuonja machungu ya madaraka makubwa ya kikatiba aliyonayo raisi na pengine wanatamani yapunguzwe na sitashangaa kuwasikia wakidai hadharani madaraka ya raisi yapunguzwe au hata kuwatumia wapinzani.
Muosha, huowoshwa.
Pinda Yuko CCM, ni chama Cha KINYONGA wa KIJANI na MANJANO, isikupe tabu ukimsikia sasa akisema madaraka ya Rais yaongezwe Badala ya kupunguzwa.Wakati Balozi Semfue akitaka rais asipunguziwe madaraka katika katiba mpya, mtoto wa mkulima Mh. Pinda amesema rais ana madaraka makubwa sana na ni vema akapunguziwa madaraka hayo.
Pia ameshauri katiba mpya isiruhusu Waziri mkuu pamoja na mawaziri wengine kutokana na Bunge (wasiwe wabunge) ili kuwe na checks and balance...
Wakati huo huo Mwenyekiti wa tume ya Uchaguzi yeye ataka katiba mpya ieonyeshe kutambuliwa kwa uwepo wa MUNGU katika shughuli za mahakama na ilitaje jina lake (MUNGU) wazi wazi...
My Take:
Hili la Pinda najua ni maoni yake na ana haki ya kusema hivyo na ninamuunga mkono kwa kutambua hilo...La Lubuva lina ukakasi kidogo coz ile dhana ya serikali kutokuwa na dini sijui itakuwa implemented vipi lakini vile vile ni Mungu yupi! Maana wengine mungu wao ni wanyama, miti, vinyago nk. Sasa ni Mungu yupi na aandikwe kwa jina lipi coz kama ni Mungu muumba mbingu na nchi, wengine humwita Allah, Mungu, God, Jah nk.....
Wakati Balozi Semfue akitaka rais asipunguziwe madaraka katika katiba mpya, mtoto wa mkulima Mh. Pinda amesema rais ana madaraka makubwa sana na ni vema akapunguziwa madaraka hayo.
Pia ameshauri katiba mpya isiruhusu Waziri mkuu pamoja na mawaziri wengine kutokana na Bunge (wasiwe wabunge) ili kuwe na checks and balance...
Wakati huo huo Mwenyekiti wa tume ya Uchaguzi yeye ataka katiba mpya ieonyeshe kutambuliwa kwa uwepo wa MUNGU katika shughuli za mahakama na ilitaje jina lake (MUNGU) wazi wazi...
My Take:
Hili la Pinda najua ni maoni yake na ana haki ya kusema hivyo na ninamuunga mkono kwa kutambua hilo...La Lubuva lina ukakasi kidogo coz ile dhana ya serikali kutokuwa na dini sijui itakuwa implemented vipi lakini vile vile ni Mungu yupi! Maana wengine mungu wao ni wanyama, miti, vinyago nk. Sasa ni Mungu yupi na aandikwe kwa jina lipi coz kama ni Mungu muumba mbingu na nchi, wengine humwita Allah, Mungu, God, Jah nk.....


