My Take:
Hili la Pinda najua ni maoni yake na ana haki ya kusema hivyo na ninamuunga mkono kwa kutambua hilo...La Lubuva lina ukakasi kidogo coz ile dhana ya serikali kutokuwa na dini sijui itakuwa implemented vipi lakini vile vile ni Mungu yupi! Maana wengine mungu wao ni wanyama, miti, vinyago nk. Sasa ni Mungu yupi na aandikwe kwa jina lipi coz kama ni Mungu muumba mbingu na nchi, wengine humwita Allah, Mungu, God, Jah nk.....
at least to show his support .Maoni ya CDM, hana jipya copy and paste....
My Take:
Hili la Pinda najua ni maoni yake na ana haki ya kusema hivyo na ninamuunga mkono kwa kutambua hilo...La Lubuva lina ukakasi kidogo coz ile dhana ya serikali kutokuwa na dini sijui itakuwa implemented vipi lakini vile vile ni Mungu yupi! Maana wengine mungu wao ni wanyama, miti, vinyago nk. Sasa ni Mungu yupi na aandikwe kwa jina lipi coz kama ni Mungu muumba mbingu na nchi, wengine humwita Allah, Mungu, God, Jah nk.....
Mbona hata JK angependa madaraka ya Rais yapunguzwe kuanzia 2015, ni Malecela na mtoto wake labda ili ndugu yao ze utamu aachiliwe au kusamehewa na Raisi na makuwadi wengine ndio fikra zao ni tofauti.
Mkuu, yawezekana umesahau kidogo naomba nikukumbushe kitu muhimu sana.
......kutambuliwa kwa uwepo wa MUNGU katika shughuli za mahakama na ilitaje jina lake (MUNGU) wazi wazi...
My Take:
.La Lubuva lina ukakasi kidogo coz ile dhana ya serikali kutokuwa na dini sijui itakuwa implemented vipi lakini vile vile ni Mungu yupi! Maana wengine mungu wao ni wanyama, miti, vinyago nk. Sasa ni Mungu yupi na aandikwe kwa jina lipi coz kama ni Mungu muumba mbingu na nchi, wengine humwita Allah, Mungu, God, Jah nk.....
Pinda ametoa maoni yake vizuri. Jaji Lubuva amepepesa macho! Nchi yetu haina dini!
Mbona hata JK angependa madaraka ya Rais yapunguzwe kuanzia 2015, ni Malecela na mtoto wake labda ili ndugu yao ze utamu aachiliwe au kusamehewa na Raisi na makuwadi wengine ndio fikra zao ni tofauti.
Nakubaliana na Lubuva. Mungu atajwe katiba. Hata asiyemuabudu Mungu wangu anaye mungu wake.... Hii sio nchi ya kipagani tafadhali. Sasa viapo tutavifanya kwa Mungu yupi? Upinzani kuhusu hili hauna nguvu..
Wakati Balozi Semfue akitaka rais asipunguziwe madaraka katika katiba mpya, mtoto wa mkulima Mh. Pinda amesema rais ana madaraka makubwa sana na ni vema akapunguziwa madaraka hayo.
Pia ameshauri katiba mpya isiruhusu Waziri mkuu pamoja na mawaziri wengine kutokana na Bunge (wasiwe wabunge) ili kuwe na checks and balance...
Wakati huo huo Mwenyekiti wa tume ya Uchaguzi yeye ataka katiba mpya ieonyeshe kutambuliwa kwa uwepo wa MUNGU katika shughuli za mahakama na ilitaje jina lake (MUNGU) wazi wazi...
My Take:
Hili la Pinda najua ni maoni yake na ana haki ya kusema hivyo na ninamuunga mkono kwa kutambua hilo...La Lubuva lina ukakasi kidogo coz ile dhana ya serikali kutokuwa na dini sijui itakuwa implemented vipi lakini vile vile ni Mungu yupi! Maana wengine mungu wao ni wanyama, miti, vinyago nk. Sasa ni Mungu yupi na aandikwe kwa jina lipi coz kama ni Mungu muumba mbingu na nchi, wengine humwita Allah, Mungu, God, Jah nk.....
Pinda yuko sahihi maana mara kwa mara huwa anapata wakati mgumu kufanya maamuzi mpaka amsubiri rais. Kama mnakumbuka suala la Jairo lilivyomkasirisha lakini hakuweza kumchukulia hatua instantly na mengine mengi. Hivyo yuko sahihi kabisa maana he is a victim of circumstance.Mhh? hii mpya. Malecela na Sefue wanapingana na Pinda na Samata. Je wapi wapo sahihi kwa maoni ya wananchi?
Mkuu nakubaliana nawe! Malecela amekwisha kabisa, kuna jamaa mmoja amesema "kashindwa na kichaa katika kiti cha Ubunge" Sefue nae ni mchumia tumbo, sikumtegemea kusema alichosema. Labda maji ya magogoni yana sumu inayoharibu akiliPinda yuko sahihi maana mara kwa mara huwa anapata wakati mgumu kufanya maamuzi mpaka amsubiri rais. Kama mnakumbuka suala la Jairo lilivyomkasirisha lakini hakuweza kumchukulia hatua instantly na mengine mengi. Hivyo yuko sahihi kabisa maana he is a victim of circumstance.