Pinda ataka Rais apunguziwe Madaraka

Pinda ataka Rais apunguziwe Madaraka

Aache unafiki mbona hasemi waziri mkuu nae apigiwe kura uswahilini huku na raisi wake anataka raisi apunguziwe madaraka halafu tuwe na waziri mkuu kilaza kama yeye mbona itakuwa balaa na anataka asiwe mbunge ndo maana alihonga apite bila kupingwa katavi nadhani anaogopa sana wananchi ndo maana hata krisimasi alitembelea hata buchani kuuliza bei ya nyama yaani tusipokuwa na raisi mwenye nguvu kikatiba halafu mkapata waziri mkuu style ya mfalme wa nyuki tumekwisha .


nakushauri utafute alichokisema pinda ndio umwite mnafiki kwakua pia amezungumzia swala la waziri mkuu kutokuwa mbunge na mawaziri wote kwa ujumla kutokuwa wajumbe na akasema utafutwe utaratibu wa kuwapata hawa watu ingawa hakusema ni utaratibu gani, amesema wakati ambapo mawaziri na waziri mkuu wanapotekeleza majukumu yao ya uwaziri upande unaoloose ni wa ubunge. Kwamaana hii hata hiyo njia ya kupigiwa kura mtaani ni miongoni mwa njia ambazo zinaweza kuwa katika huo utaratibu wa kumpata waziri mkuu, ingawa kwenye nyanja nyingine anaweza kuwa mnafiki ila kwa hapa umemwoea.
 
Pinda kaonja ugumu wa waziri mkuu kuwa raba stamp.
Hata vitu vidogo ambavyo alitakiwa avifanyie maamuzi vinangoja baba lizy.lol!

Uwaziri mkuu wa namana hii ni ujinga mtupu!
 
Mungu ni Mmoja , Mungu muumba mbingu na nchi , Bwana wa majeshi, Elisha Daya ,Mesiya , oooooooh shakalababaaabab la bosaya , kila goti litapigwa kwa mungu huyu , Mungu mwenye uweza Jina lipitalo majina yote ooooooh ni YESU KRISTU ndo tunayesema

Waislamu hawaamini kwamba huyo Yesu ni mungu. Hapo ndipo vita ya kidini itakapoanzia.

Ndiyo maana nasema habari nzima ya kumuweka mungu kwenye katiba ni upuuzi usio tija, kwa sababu itafumua tofauti zetu bila sababu na kuleta mianya ya machafuko.

Ukitaka kum define mungu kikatiba kila mtu atataka mungu huyo awe mungu wake, na sie tusioamini mungu tutakerwa na kuchanganya dini na katiba.

Tanzania is supposed to be a secular state.Unataka habari za mungu? Nenda kanisani au msikitini kwako, soma biblia au Kurani yako, sio katiba ya nchi.
 
Katiba itambue uwepo wa Mungu! Sisi ambao hatuamini uwepo wake tutalindwa na kitu gani au tuhame nchi?
 
Members of the House of Representative have advised for reduction of appointing powers bestowed upon the Zanzibar President by the Isles Constitution.
The Zanzibar president appoints various senior officials including directors of various authorities, parastatal organizations and board chairpersons.
The representative have argued that if a different system of getting senior officials is devised it will improve performance and accountability.
The call for reducing appointing powers of the Zanzibar president was made by representatives over the weekend when contributing to a Bill to enact a law that will regulate provision of water and energy services.
The Bill was tabled by the Zanzibar Minister for Water and Energy, Ramadhan Abdallah Shaban in the House of Representatives.
Kwamtipura member Hamza Hassan Juma told the House that the fact that senior officials were appointed by the president makes some of them develop arrogant attitudes.
He said some presidential appointees have showed dismal performance compounded by high levels of indiscipline, hence slowing down productivity in their places of work.
He suggested that all vacancies in public organizations, boards and authorities should be filled by asking qualified candidates to apply.
“Time has now come for all top most positions in government entities to be announced so that those who think they qualify for them could make applications,” Hamza said.
He said a good number of public organizations have been poorly performing, a trend caused by negligence and unaccountability as ministers who are also presidential appointees do not take necessary measurers for reasons best known to themselves.
He said if executive officers are employed through applications it will give powers to the House of Representatives to hold them accountable.
But Chakechake Representative Omari Ali Sheha said there was a pressing need to put limits to the number of meetings that each board of directors should convene annually.
The representative was prompted to give out the proposal after realizing that some meetings that are convened by boards are not beneficial to the entities themselves and the public in general. Instead board members squander public monies in the guise of board meetings, he maintained.
He said under existing law in Zanzibar boards are required to meet thrice annually but now the meetings are held irregularly.
“There are some board members who pay themselves hefty allowances through what they call emergency board meetings,” said Hija Hassan Hija, Kisiwani Representative.
There is a public outcry even on Mainland Tanzania, calling for trimming down presidential powers.

Source : Home
 
Naamini hivi sasa wao ndio wanaisoma namba kuliko hata wapinzani kwa anayoyafanya Magufuli.

Sina shaka hivi sasa nao wameanza kuonja machungu ya madaraka makubwa ya kikatiba aliyonayo raisi na pengine wanatamani yapunguzwe na sitashangaa kuwasikia wakidai hadharani madaraka ya raisi yapunguzwe au hata kuwatumia wapinzani.

Muosha, huowoshwa.
 
Tuliwaambia ila wao kila wazo linalotoka upande wa pili wanadhani ni la uadui hivyo wanalikataa tuu.
Natamani Magufuli atumie vibaya madaraka yake na sio kuwafukuza tuu bali sasa awacharaze na viboko wale wote walio hujumu nchi kwa msaada wa ccm
 
Hakuna kigeni hapo! Malengo ya Magufuli yalikuwa wazi...mwenye masikio alisikia toka siku ya kwanza ya kampeni...na ndo maana baadhi ya mafisadi walianza kukimbia mapema! Moto wa huyu mzee tunashuhudia hadi upinzani hawaufurahii...Mungu amlinde mzeewetu kwenye hivi vita vikali...
 
Tuliwaambia ila wao kila wazo linalotoka upande wa pili wanadhani ni la uadui hivyo wanalikataa tuu.
Natamani Magufuli atumie vibaya madaraka yake na sio kuwafukuza tuu bali sasa awacharaze na viboko wale wote walio hujumu nchi kwa msaada wa ccm
Ngoja kwanza...kwahiyo mlipendekeza katiba mpya ili rais asiwe na uwezo wa kupambana na wahujumu-uchumi?
2. Kucharaza viboko wahujumu uchumi ni matumizi mabaya ya madaraka?? Hebu fafanua ndugu
 
Naamini hivi sasa wao ndio wanaisoma namba kuliko hata wapinzani kwa anayoyafanya Magufuli.

Sina shaka hivi sasa nao wameanza kuonja machungu ya madaraka makubwa ya kikatiba aliyonayo raisi na pengine wanatamani yapunguzwe na sitashangaa kuwasikia wakidai hadharani madaraka ya raisi yapunguzwe au hata kuwatumia wapinzani.

Muosha, huowoshwa.
Nimepitia huu uzi zaidi ya mara 10 sijaona hiyo sehemu CCM wanataka madaraka ya rais yapunguzwe labda macho yangu na huu uzee sijui miwani yangu ipo wapi.
 
Nzee Nkapa alitaja mali alipoingia madarakani, lakini wakati wa kutoka akawa mbogo![/QUOTE

Huyo anajulikana mpigaji, huyu wa sasa anosema hataki uchafu, Na ufisadi km rais atuambie kwa mwezi anaingiza bei gani mshahara wake, tumwelewe zaidi
 
Akiwa ARUSHA hivi karibuni kasema atatumbua majipu mpaka kwny vyama cha Siasa. CCM ikianza then atahamia kwenye Ruzuku za vyama cha Siasa pamoja na Fedha za ofisi ya Kiongozi wa Upinzani ( KUB) asizichezee kama wakati ule wa Chotara wa Kikwere anachukua pesa za Bunge anapelekea nje Viti maalum kujadili 'Maendeleo ya nchi'Dubai atakwenda na Maji.
 
Umekosq hoja zubeda jipange tena ukawa mmekuwa mwewe sasa kuruka hovyo kama popo.
 
Back
Top Bottom