Mosachaoghoko
Senior Member
- Apr 19, 2011
- 137
- 10
wana jf leo ilikuwa ni ziara ya kiongozi wa shughuli za serikali bungeni na PM wa JMT kufanya ziara kule mgodini north mara nyamongo lakini hakutaka hata kuuliza kuwa mbona haoni mgodi ambao unazungukwa nA WANANCHI ni baada ya kupelekwa kwingine na viongozi wakiongozwa na mkuu wa malaya dc na hii ni baada ya jhana majira ya saa 17;00 barrick kufanya mauaji ya mwanafunzi wa sekondari aliyekuwa akitokea kwenye sherehe ya mahafali yake kumaliza f4 hivyo kugongwa na dumper truck la mgodi na kuuawa hapohapo eneo la boom gate kama linayojulikana na kufanya idadi ya watu waliouawa katika eneo hilo la boom gate kuwa isiyo pungua wananchi watano lakini hakuna hatua zozote zinazochukuliwa na mgodi,serikali kuu na serikali za mitaa