Consultant
JF-Expert Member
- Jun 15, 2008
- 11,401
- 20,661
Uamuzi mgumu aliufanya Lowasa na si Kikwete. Katika situation ile, hakutakiwa kusubiri Lowasa aandike barua ya kujiuzuru, kamati ya Mwakyembe ilikuwa na full data, angefanya uamuzi mgumu kama yeye ndiye angeaanza kumvua madaraka, otherwise alimeza tu baada ya Lowasa kutafuna.Katiba ilimtaka kuvunja baraza la mawaziri baada ya waziri mkuu kujiuzuru. lakini ili waziri mkuu ajiuzuru ni lazima amuandikie barua rais na rais akubali, kwa maana hii ni kweli kabisa hayo yalikuwa maamuzi magumu ya Kikwete. Lakini hii ni kama unataka ukweli wa suala hili lakini kama ni kutafuta kuwatukana viongozi unaweza kuendelea tu maana hiyo nayo ni kazi nzuri sana na inaweza kukupa umaarufu mkubwa sana hapa tena unapewa cheo cha upambanaji.
Shule zenyewe alianzisha Lowasa, kaondoka hata kuziendesha vizuri wanashindwa.Miongoni mwa maamuzi ''magumu'' anayosema Pinda ni pamoja na kuanzisha shule za kata na pia kwamba ilikuwa uamuzi mgumu sana kuvunja baraza la mawaziri wakati PM Lowassa alipojiuzuru.Pinda bana!
Nimeshangazwa sana na kauli ya Mizengo Pinda kuisifia serikali ya Kikwete ati kuwa imewahi kuchukua maamuzi magumu. Pinda bila haya anadiriki kusema kuwa mmoja ya maamuzi magumu ni Kikwete kuvunja baraza la mawaziri kufuatia kujiuzulu kwa Lowassa mwaka 2008.Pinda asitake kuupotosha umma akidhani wote ni vilaza kama bosi wake. Suala la Kikwete kuvunja baraza la mawaziri halikuwa jambo la hiyari. Katiba ndiyo iliyomlazimisha Kikwete kuvunja kebineti. Katiba inataka kebineti ivunjwe endapo waziri mkuu ataachia ngazi kwa sababu yoyote ile...iwe kufa, kufukuzwa, kujiuzulu nk.Pinda anapenda sana cheap popularity. Anasahau kuwa serikali ya bosi wake imeshindwa kuchukua maamuzi magumu ndo maana hadi leo tunaishi kizani.Hana lolote huyo anayelimia tumboni keshalewa madaraka.
Ni kweli si maamuzi rahisi kuanzisha shule mbovu kama za kataMiongoni mwa maamuzi ''magumu'' anayosema Pinda ni pamoja na kuanzisha shule za kata na pia kwamba ilikuwa uamuzi mgumu sana kuvunja baraza la mawaziri wakati PM Lowassa alipojiuzuru.
Pinda bana!
Uamuzi mgumu aliufanya Lowasa na si Kikwete. Katika situation ile, hakutakiwa kusubiri Lowasa aandike barua ya kujiuzuru, kamati ya Mwakyembe ilikuwa na full data, angefanya uamuzi mgumu kama yeye ndiye angeaanza kumvua madaraka, otherwise alimeza tu baada ya Lowasa kutafuna.
wanaounga mkono waseme ndiyo, ndiyo!!!!!! wanaopinga waseme siyo, SIYOOOOOOOOOOOOO!!!Katiba ilimtaka kuvunja baraza la mawaziri baada ya waziri mkuu kujiuzuru. lakini ili waziri mkuu ajiuzuru ni lazima amuandikie barua rais na rais akubali, kwa maana hii ni kweli kabisa hayo yalikuwa maamuzi magumu ya Kikwete. Lakini hii ni kama unataka ukweli wa suala hili lakini kama ni kutafuta kuwatukana viongozi unaweza kuendelea tu maana hiyo nayo ni kazi nzuri sana na inaweza kukupa umaarufu mkubwa sana hapa tena unapewa cheo cha upambanaji.
Nimeshangazwa sana na kauli ya Mizengo Pinda kuisifia serikali ya Kikwete ati kuwa imewahi kuchukua maamuzi magumu. Pinda bila haya anadiriki kusema kuwa mmoja ya maamuzi magumu ni Kikwete kuvunja baraza la mawaziri kufuatia kujiuzulu kwa Lowassa mwaka 2008.
Pinda asitake kuupotosha umma akidhani wote ni vilaza kama bosi wake. Suala la Kikwete kuvunja baraza la mawaziri halikuwa jambo la hiyari. Katiba ndiyo iliyomlazimisha Kikwete kuvunja kebineti. Katiba inataka kebineti ivunjwe endapo waziri mkuu ataachia ngazi kwa sababu yoyote ile...iwe kufa, kufukuzwa, kujiuzulu nk.
Pinda anapenda sana cheap popularity. Anasahau kuwa serikali ya bosi wake imeshindwa kuchukua maamuzi magumu ndo maana hadi leo tunaishi kizani.
Hana lolote huyo anayelimia tumboni keshalewa madaraka.
Wacha ukilaza wewe, Mkeo akikuomba talaka ukampa ni uamuzi mgumu? Kumbe uamuzi wa kawaida usio mgumu ni kwamba angem'bembeleza aendelee? huoni kama ingezidi kumshushia hadhi Rais?ule ulikua uamuzi wa kawaida tu ambao yoyote angeweza kuufanyaKatiba ilimtaka kuvunja baraza la mawaziri baada ya waziri mkuu kujiuzuru. lakini ili waziri mkuu ajiuzuru ni lazima amuandikie barua rais na rais akubali, kwa maana hii ni kweli kabisa hayo yalikuwa maamuzi magumu ya Kikwete. Lakini hii ni kama unataka ukweli wa suala hili lakini kama ni kutafuta kuwatukana viongozi unaweza kuendelea tu maana hiyo nayo ni kazi nzuri sana na inaweza kukupa umaarufu mkubwa sana hapa tena unapewa cheo cha upambanaji.
Nimeshangazwa sana na kauli ya Mizengo Pinda kuisifia serikali ya Kikwete ati kuwa imewahi kuchukua maamuzi magumu. Pinda bila haya anadiriki kusema kuwa mmoja ya maamuzi magumu ni Kikwete kuvunja baraza la mawaziri kufuatia kujiuzulu kwa Lowassa mwaka 2008.
Pinda asitake kuupotosha umma akidhani wote ni vilaza kama bosi wake. Suala la Kikwete kuvunja baraza la mawaziri halikuwa jambo la hiyari. Katiba ndiyo iliyomlazimisha Kikwete kuvunja kebineti. Katiba inataka kebineti ivunjwe endapo waziri mkuu ataachia ngazi kwa sababu yoyote ile...iwe kufa, kufukuzwa, kujiuzulu nk.
Pinda anapenda sana cheap popularity. Anasahau kuwa serikali ya bosi wake imeshindwa kuchukua maamuzi magumu ndo maana hadi leo tunaishi kizani.
Hana lolote huyo anayelimia tumboni keshalewa madaraka.
Jee, angekataa "resignation" ya Lowassa?
Lita 1,000 ni pipa 5 mkuu, sio 1. Halafu wabunge wa ''vitu'' maalumu posho ya mfuko wa jimbo hua wanaipelekaga wapi?Ama kweli ukistaajabu ya musa utayaona ya firauni.zifuatazo ni baadhi ya posho wanazokirimiwa waheshimiwa wabunge kama zilivyotajwa na waziri mkuu ndugu pinda wakati akifunga mjadala wa makadirio ya bajeti ya ofisi yake.DUUH!MAHELA YA KUTOSHA.......................................
- posho ya mafuta lita1000 kwa mwezi(pipa moja la mafuta)
- posho ya mfuko wa maendeleo ya jimbo.
Nimeiona hiyo! pointNimeshangazwa sana na kauli ya Mizengo Pinda kuisifia serikali ya Kikwete ati kuwa imewahi kuchukua maamuzi magumu. Pinda bila haya anadiriki kusema kuwa mmoja ya maamuzi magumu ni Kikwete kuvunja baraza la mawaziri kufuatia kujiuzulu kwa Lowassa mwaka 2008.Pinda asitake kuupotosha umma akidhani wote ni vilaza kama bosi wake. Suala la Kikwete kuvunja baraza la mawaziri halikuwa jambo la hiyari. Katiba ndiyo iliyomlazimisha Kikwete kuvunja kebineti. Katiba inataka kebineti ivunjwe endapo waziri mkuu ataachia ngazi kwa sababu yoyote ile...iwe kufa, kufukuzwa, kujiuzulu nk.Pinda anapenda sana cheap popularity. Anasahau kuwa serikali ya bosi wake imeshindwa kuchukua maamuzi magumu ndo maana hadi leo tunaishi kizani.Hana lolote huyo anayelimia tumboni keshalewa madaraka.