Wiki mbili zilizopita,waziri mkuu mh Pinda alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari kuhusu mgomo wa madaktari,aliwataka kurudi kazini ifikapo kesho yake vinginevyo wajihesabu kuwa wamejifukuzisha kazi!Hadi leo taarifa zilizopo ni kuwa madaktari hawajarudi kazini!Kama kuna mwana JF anajua ni madaktari wangapi samefukuzwa kazi kufuatia kauli hiyo ya Pinda aiweke jamvini,isijekuwa mjomba alikuwa anapiga mkwara mbuzi.