Pinda afunguka sakata la Escrow



Chumvi gani huyu naye?! kazi kuhangaika kulinda wezi; apigwe huyu!
 
Kakimbilia chachi? Kweli simba akizidiwa hunywa hata supu ya kabeji.

Mbona ushabiki umekuwa mwingi katika sakata la Escrow?tuache siasa tujadili ukweli wa sakata hili kwa hoja zilizojitosheleza kuliko kuwa makuwadi wa kuwatetea wanasiasa fulani na kuwaponda wanasiasa fulani kwasababu ya masilahi binafsi mmeweka utaifa nyuma ubinafsi mbele.
 
Conference ameitoa wapi wakati alikua anahaha bungeni kutaka kuchomeka court order ili binge lisijadili, hapa ndipo utakapo on a wabunge was ccm hawana maana. Wawekwa kiti moto na 100ml kwa kila mmoja zinatosha kabisa kujadili pumba hiyo kesho kutwa.

Labda Esther Bulaya huyu mdada namuamini yy hatokuwepo atapata uzuru kama kwenye baraza la katiba
 
Wee kondooo.....

Unajua PER DAY IPTL INALIPWA TSHS. NGAPI...!!?? HADI MGOGORO UNATOKEA KUWA NI PESA NYINGI SANA...!!??


PER DAY...Tanesco pays IPTL tshs 400 mil.....


Hii ni sawa na tsh 12 bilions....kwa mwezi.....!!!!!


Hiyo ni CAPACITY CHARGE tshs 4 bil plus tshs 8 bil gharama za umeme, ndio UGOMVI ULIKOTOKEA...KUWA IPTL INAUZIA TANESCO UMEME GHALI SANAAAAAAA....


BAADA YA KESI KUISHA NA AUDITING KUFANYWA....IKAONEKANA KTK ZILE FEDHA ZA ESCROW AMBAZO ZILIFIKIA US$ 250 MIL ilitakiwa 75% ZIRUDI TANESCO....kuwa tanesco ililipa ZAIDI....

250,000,000 × 1720 = tsh 430 billions...


So 75% × 425 = tshs 322 bilions ZIRUDI TANESCO

Alafu 25% zilizobakia ziende IPTL...na umeme uuzwe tshs 80 kwa unit moja


Sasa ww kima, tanesco ni mali ya UMMA, badala ya hizo kurudi tanesco ZIMELIWA....


PINDA NDIE WAZIRI MKUU....alipewa mgawo wake...na ni mtuhumiwa namba moja...aliona watu wakigawiwa fedha yeye akijua na kapokea pia....


Ukirejea kikao cha NEC CCM Dodoma, Mangula alisema waziii kuna ATM mpya ya ECSROW...wana CCM...yaani UVCCM wanagawiwa hela kama njugu...akimtaja wazi Pinda....hivyo hata Mangula anajua Pinda kapewa hongo hiyo....


Sasa ww una mtindio wa ubongo ww....!!!

Where is ur intellectual skills on this matter...!!? Usomi upi unataka kujadili...!!?


Kuhusu Lowassa hakuhusika ktk Richmond...jua vitu kwa undani ww...!!




 
Makanisa sasa yanatia kinyaa kusafisha Majizi... hapo ndo amefunguka? Ukanjanja katika uandishi sasa yanafikia kilele cha ujinga...

Acha kukashifu imani za watu kwa sababu ya udini wako,changia mada kwa hoja zenye mashiko kama huna hoja kaa kimya si lazima uchangie kila mada
 
Naona makanisa yamegeuka kuwa vijiwe vya siasa. Hivi hawa viongozi wa dini hawayaoni haya?
 
MAFISI wakubwa! kila jitu likaharibu linaenda kukunja makunyanzi kanisani au msikitini. viongozi wa kanisa wanaowaruhusu hawa WEZI kulinajisi kanisa walaaniwe na kila mwananchi anayeitakia mema nchi hii.
 
Unatumika kinyume na maumbile....ushapasuka msamba ww...!!! Useless...!!

Mtaangaika sana mwaka huu huyo babu yenu Edward Lowassa ni mgonjwa anatetemeka mwenyewe hata kushika glass hawezi,hata kuinua mikono juu hawezi mikono imekakamaa kwa ugonjwa ,aoni vizuri ni kama kipofu kila kukicha ujerumani kutengeneza macho na kubadilisha damu ni mdhaifu hata kusimama muda mrefu hawezi uwezo wake wa kufikiri umepungua sana ndiyo maana muda mwingi akiwa bungeni anasinzia.Ni mgonjwa na mdhaifu sana kwa kweli kamwe hawezi kwa amirijeshi mkuu wa JMT atafia madarakani
 
apo nimemtetea nani vile? Nkumbushe...

 
Sipendi kuona hawa maaskofu wanawaalika mafisadi...nachukia sana
 
Watanzanzia sasa inabd tuwe macho yawezekana kuna baadhi yao ni mafisadi
 
Ukiulizwa swali umtaje mtu walau mmoja tu aliye msafi ndani ya CCM - aisee ni bora mtu akwambie ukabebe zege.
 
Kwani uyo askofu yeye hajui kuwa kuna tume ya PAC na hajui kama umeshapangwa muda na siku ya kuliweka wazi jambo hilo kule bungeni? Kama hiyo serikali ndio mtuhumiwa then anataka mtuhumiwa atoe taarifa ya wizi?? Mbona naona kama uyo askofu haikua sahihi kutokana na mazingira ya uo wizi eti uiambie serikali itoe tamko serikal yenyewe ni akina pinda
 
MAFISI wakubwa! kila jitu likaharibu linaenda kukunja makunyanzi kanisani au msikitini. viongozi wa kanisa wanaowaruhusu hawa WEZI kulinajisi kanisa walaaniwe na kila mwananchi anayeitakia mema nchi hii.

Mkuu ujanja huo ni wa Edward Lowassa wa kupita makanisani na misikitini kujisafisha ili aonekane mwema kwa jamii ya watanzania wakati yeye ni fisadi aliyebobea tokea enzi za utawala wa Mwl.Nyerere alifanya ufisadi mwingi tu moja wapo ikiwa kutafuna pesa za ujenzi wa ofisi za TANU kwa mkoa wa Arusha aliadhibiwa na chama kwa kuambiwa arudishe pesa zote na kufika ofisi kila siku kuanzia asubuhi mpaka jioni bila kufanya kazi yoyote baada muda mrefu Sokoine alimwombea msamaha kwa mzee hapo akasamehewa baada ya kutumia adhabu hiyo na kupangiwa majukumu mengine.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…