Askofu bagonza atoa somo muhimu kwa watawala

Askofu bagonza atoa somo muhimu kwa watawala

Mmawia

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2013
Posts
123,250
Reaction score
98,243
Kama kawaida kwa viongozi wa kiroho wamekuwa wakiipatia jamii ya watanzania kupitia majukwaa mbalimbali hapa nchini.

Naomba tumsikikize...

Akizungumza katika Jukwaa la Demokrasia Tanzania kuhusu Gen-Z na Hatma ya Demokrasia Nchini leo Julai 9, 2026 lililofanyika visiwani Zanzibar, Askofu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Dayosisi ya Karagwe, Askofu Dkt. Benson Bagonza ameonya kuwa kizazi cha sasa (Gen-Z) hakiwezi kunyamazishwa kwa matumizi ya nguvu, risasi, mabomu, vitisho au propaganda, akisisitiza kuwa mbinu hizo huchochea zaidi uasi kuliko usikivu na udadisi.

Askofu Bagonza ametoa wito wa vijana kujibiwa kwa hoja, takwimu na ukweli wa yanayoendelea badala ya matumizi ya nguvu.

 
Matumizi makubwa ya nguvu mara nyingi hufanywa na watu wenye uwezo mdogo wa kufikiri, wenye akili ndogo vichwani mwao, na wasiojiamini.
 
Back
Top Bottom