mageuzi1992
JF-Expert Member
- Apr 9, 2010
- 2,502
- 256
Kwa hili muheshimiwa pinda kachemka
:bowl:mmesahau yaliyompata kaijage aliposahau cd ya wimbo wa taifa siku ya staz na moroko? sasa tumsake kaijage mwingine aliyesahau misahau chamwino!!!!:A S angry::smile-big:
Pinda ni mtu ambae siku zote amekua na guilty consiousness kubwa sana..
Anaogopa kumhusisha mnyaazi mungu kwenye udhalimu na ghilba walizofanya. Anatambua uwepo wao madarakani hauna chembe ya baraka za mungu maana ni kinyume kabisa na mapenzi ya allah. Aanogopa adhabu kali zitazowaangukia kwa kuendelea kumdhihaki mola.
Mungu aliwapa watu nguvu na mgombea wetu na watu wote tulimchagua ila utawala huu kwa ghiliba, mabavu na hila, wameweka utawala wao. Wanajua fika kwamba mungu hakupanga wawe wao...
Pinda anahofu.. ingawa tunamjua ni mkristo, ameshindwa kumhusisha muumba kwenye kiapo chake maana anajua hajaipata hiyo nafasi kwa mipango ya mungu.
Siyo kweli kama Pinda ameapa bila msahafu. Ameapa akiwa ameshika biblia na imeonyeshwa kabisaNimeipenda hii kwani huwa wanaapa na vitabu vitakatibu kisha wanakuja kufanya kinyume chake
Huyu ndo mkiristo hodari,sisi tuliopitia malezi Ya Seminari tunajua uzito wa kitabu kitakatifu. Kama unajua kuna ila zilitumika kuiba au kufanya kitu kinyume na maadili kamwe huwezi kuapa kwa kugusa kitabu kitakatifu la sivo yanakupata makubwa. Pinda ni mkristo safi,mlezi ktk kanisa katoliki la Hananasifu,anaielewa dini yake vilivyo. Kwa kuwa umelazimishwa uPM basi mzee Pinda uape bila mwongozo wa Mungu. Nakusukuru kwa kuisimamia Imani.