nngu007
JF-Expert Member
- Aug 2, 2010
- 15,860
- 5,803
Yeye Katoka Rukwa Kingunge Ngombale Mwiru pia alikuwa haapi na Msaafu au Biblia; Inaonyesha kuwa watu wengi wa Rukwa hawana hizi dini za kupachikwa wanafuata fursa za kienyeji au tunaita upagani; Nyerere alikuwa anamsifia sana kingunge kila mara anatoa mfano wake kwenye masuala mengi tuu