Job Richard
JF-Expert Member
- Feb 8, 2013
- 3,875
- 2,201
hahahahahaaaaa kweli aisee maana hata mimi anayejua point (alama)kwenye mwili wangu namuheshimu sana aisee.
maana wakijua wengi sasa itakuwa ya umma tu hamna namna.
kabisa sio kila mtu akujue jue upoje tena mbaya zaidi huyu uliyezoeana nae unachojoa nguo zote hapo kuna siri nilikuja kuligundua hili nini thaman ya mwili kuna demu katika kutaniana nikamuuliza kipi anachokijua mwilini mwangu si akataja una kijikovu takoni akati mimi sijawahi kiona TUITHAMINI MIILI YETU IMEBEBA HESHIMA KUBWA
ndio maana ndoa hazidumu maana unakuwa mwingi wa kuonja onja