Naitafuta mkuu,..naweza ipata supermarket ipi?Hii ni pilipili mbuzi ama?
Nimeiona supermarkets yaani Ulaya kama unaweza unawezeshwa lakini kwetu ni majanga ingawa tunaweza kufanikisha mengi.
Kila leo tunaimba badhaa zitu zipatiwe ufumbuzi, na wengi wanapita humu na kuisoma mijadala kama hii lakini walaaa
Kama yamerogwa
Tunaiga mambo ambayo haituingizii faida ila omba kibali cha kusafirisha MAEMBE yanayoozea chini ya miti usikie mziki wake.
Ofisi zaidi ya 10 halafu hupati kibali
Sent from my SM-G570F using Tapatalk
Nami nimeitumia muda kidogo ilinunuliwa kagera kwa huku dar sijajua naipata wapi,..kwa anayefahamu tafadhari msaada.Mara mwisho kuitumia ilikuwa bulyanhulu kakola 2014 ni nzuri sana aisee na ni Kali sana
Inapatikana madukaniiNami nimeitumia muda kidogo ilinunuliwa kagera kwa huku dar sijajua naipata wapi,..kwa anayefahamu tafadhari msaada.
Amazon na eBay utapata piaNaitafuta mkuu,..naweza ipata supermarket ipi?
sisi tupenyeze tangawizi, asali na malimao mpaka hapo London Central Market"Mmachinga" toka Rwanda anaetengeneza pilipili maarufu "Akabanga" amefanikiwa kuipenyeza bidhaa yake kwenye masoko huko Marekani & Ulaya. Hapa Bongo tuna SIDO, VETA, TIRDO, Halmashauri kila kona na maafisa biashara na ushirika walionenepeana tu. Tunakwama wapi?
#Don't Hate, Be Inspired#
akabanga – From a Little secret to Great flavor
Kuna super market jirani na julianaNaitafuta mkuu,..naweza ipata supermarket ipi?