Pilipili ya Akabanga yatinga US & Europe

Pilipili ya Akabanga yatinga US & Europe

Hata wewe unawezatengeneza ya kwako usikalie lawama lawama tu. Kuna siku hata mkeo asipopata mimba baada ya kumtia utailaumu SERIKALI.
 
Sio jukumu la waziri tu mkuu hata mimi na wewe tunaweza kutengeneza bidhaa yetu.


Walaumu kwa sera maana ndiyo wazitungao.
Bosi tunalaumu serikali sisi tuko slow zambia wanauza sana uk pilipil na hata malaiwi wanayo NALI ndo imejaa hata s.market zetu
 
Hizi lawama zinaangukia serikali ya chama cha mapinduzi au Chadema ?
Chadema hayawahusu nyie maongezi yenu kudai demokrasia Na Uhuru wa kuhutubia Na kutetea ushoga mambo mazito kama haya ya masoko ya bidhaa kama pilipili nk tuachieni CCM tuyaongelee nyie Nendeni kuongelea mambo ya katiba hewa mpya Na mswada wa vyama vya siasa
 
Nimelazimika kucheka...! Hiyo lazima iwe hatari...mafuta ya pilipili....leo ndiyo nimejua pilipili inamafuta. Halafu utasia waafrika hatuwezi kugundua kitu. Hongera mgunduzi wa mafuta ya pilipili ya Akabanga.
===
Nikirudi kwenye post yako: Kama jina linaakisi sehemu inapolimwa...yaani Akabanga (neno la kibantu mlimani) utagundua mlimani maji hayatuami..utililika; kiasi fulani muda mwingi panaweza pakawa pamekauka...hivyo dhana ya kusema pilipili hiyo inalimwa sehemu yenye mawe mawe /pakame inaweza kuwa na mashiko.
Labda lakini yawezekana maana lugha za kibantu hutoa maana nyingi.
 
Hongera kwao Akabanga. Sisi pamoja na kuwa na BODI YA MAZIWA lakini bado hayo maziwa hayanywewi shuleni
Hili wazo lingefanyiwaga kazi tungepata vijana ambao ni watanzania vipanga na lingekuza Sana uchumi wa watu wanaoitwa wamachinga wa ng'ombe
 
Tutumie network ya ATC kupeleka bidhaa zetu (light products) nje ya nchi
 

Attachments

  • 45fcf5bfc8093560f98e786536ef08d2.jpg
    45fcf5bfc8093560f98e786536ef08d2.jpg
    50.8 KB · Views: 52
Nchi inaendelea kwa uzalishaji si kushinda makanisani tu
 
Back
Top Bottom