watu wanapenda starehe hawa ukiwaendekeza unakuwa chapombe nchi za watuZambia na sisi hatuchekani ndugu. Wao pombe imewakaa kunako. Starehe kama hakuna kesho
watu wanapenda starehe hawa ukiwaendekeza unakuwa chapombe nchi za watuZambia na sisi hatuchekani ndugu. Wao pombe imewakaa kunako. Starehe kama hakuna kesho
ni"Mmachinga" toka Rwanda anaetengeneza pilipili maarufu "Akabanga" amefanikiwa kuipenyeza bidhaa yake kwenye masoko huko Marekani & Ulaya. Hapa Bongo tuna SIDO, VETA, TIRDO, Halmashauri kila kona na maafisa biashara na ushirika walionenepeana tu.
#Don't Hate, Be Inspired#
akabanga – From a Little secret to Great flavor
wabongo kwa pombe balaa yaan mtu kipato cha kuunga lakin pombe kama dawa.watu wanapenda starehe hawa ukiwaendekeza unakuwa chapombe nchi za watu
sisi kuna kina chapombe ila hatuufikii huo ukanda huo wa Zambia,Malawiwabongo kwa pombe balaa yaan mtu kipato cha kuunga lakin pombe kama dawa.
Duhh sasa hiyo si sumu tenaHiyo Akabanga nimeiona Leeds Market mwaka juzi. Tone moja tu unahaha.
Well said indeed ...kongole mkuuHuyo jamaa juhudi zake zinachangia asilimia kubwa, sasa wewe Mtanzania upo kwa mtogole unapiga ulabu halafu unawalalamikia SIDO eti hawajakuwezesha.
Mbona kuna watanzania wanauza bidhaa mbalimbali nje ya nchi kama vinyago,maua na bidhaa za kiutamaduni huko ughaibuni.
Watanzania mnapenda kubustiwa muda wote kama kuku wa kizungu.
PAMBANA NA HALI.
Hahahaha yaani ukatamani kufa kabisa?hiyo pilipili ni balaa.. kuna siku niliishika halafu nikamshika abdallah kichwa wazi... nilitamani kufa
"Mmachinga" toka Rwanda anaetengeneza pilipili maarufu "Akabanga" amefanikiwa kuipenyeza bidhaa yake kwenye masoko huko Marekani & Ulaya. Hapa Bongo tuna SIDO, VETA, TIRDO, Halmashauri kila kona na maafisa biashara na ushirika walionenepeana tu.
#Don't Hate, Be Inspired#
akabanga – From a Little secret to Great flavor
Hizo bidhaa kapelekewa Na serikali , halmashauri au Maofisa biashara huko Ulaya? Tanzania wako mabilionea akina bakhresa ambao hata Rwanda hawapatikani Na wauza biashara nje je wametajirishwa Na serikali , halmashauri au Maofisa biashara?Wewe mleta mada kaa ukisubiribiri serikali,halmashauri ,mawaziri au Maofisa biashara utakufa maskini ukinya umaskini jiongeze pambana Na hali yako.Utaunadije faida biashara,waziri au maafisa halmashauri ambao maisha yao yote hawajawahi hata kuuza Karanga watusaidie biashara yako!!!! Huyo mnyarwanda hongera zake kapambana Na bidhaa yake hadi imeingia ulaya.
hiyo pilipili ni balaa.. kuna siku niliishika halafu nikamshika abdallah kichwa wazi... nilitamani kufa
Rwanda ni Israel ya afrika masharikiRwanda inejikita sana kwenye exports . Rwanda imejipanga kuwa hub ya Wataalamu wabobezi wa fani nyeti kama uinjinia wa fani mbalimbali za aina zote ,udaktari ,nk . Rwanda ina export wasomi wengi mno na serikali inasomesha sana Wataalamu wa fani . Wanyarwanda wasomi Kagame wote anataka wawe internationally certified akiwa ni daktari Rwanda wabataka asome afanye mitihani ya kimataifa ya kuwa certified kwa gharama za serikali.Nenda taaisisi zozote zinazotoa international certification course za fani utakutana Na Wanyarwanda wamekuwa sponsored na serikali kusoma wanasoma hasa..Rwanda kuna international certified wengi kuliko nchi yeyote ya Afrika mashariki Na kati . Anafanya hivyo kujenga soko la ajira la kimataifa linaloingiza pesa za kigeni.Sababu hao watu wengi wanapata ajira nje ya nchi na makampuni ya kimataifa Na taaisisi za kimataifa ambazo hulipa pesa za kigeni hivyo kufanya Wanyarwanda kuwa na pesa nyingi za kigeni kuliko za Rwanda.Pili Rwanda imejikita kwenye exports drive ambapo hata mkulima mdogo aweza uza mazao au bidhaa online popote duniani . Mradi ajisajili . Kwa hiyo wana export sana vitu hata vidogo kama vikapu nk Tanzania tuna doctors,engineers, walimu wa sayansi wengi wako idle kazi hawana tinawaacha tu hao ni exportable product tukiiandaa vizuri . Wakati wa kuwaza tu kahawa,korosho Na pamba kuwa ndio exportable products umepitwa Na wakati .Vichwa vyenye akili ni moja ya exports Dunia ya leo.Ndio maana Marekani hata mtoto wa bilionea Billy Gates akiwa na akili sana serikali inaamua kumsomesha yenyewe.Sababu ni hazina ya nchi .Hapa mtoto hata awe top ten Na aenda kusoma udakitari,uinjinia au masomo ya sayansi atajijua Na hata mkopo kupata aweza kosa.Kama nchi tumekalia tu kuangalia traditional exports tulizoachiwa Na mkoloni.Alituachia chai,kahawa,nk tumekomalia kukodolea macho hapo tu!!!! Rwanda wameenda beyond.