m.k
Senior Member
- Apr 3, 2015
- 101
- 130
habarini wanajamvi!Ni miezi mitano toka nmenunua pikipiki aina ya kinglion hivi karibuni imekuwa na tatizo la kukatika kwa ring na baadae kugonga engine nimesha badilisha block mara mbili naomba mwenyewe ujuzi anisaidie hili tatizo linasababishwa na nini na nifanyeje?