Piki piki bora yenye bei nafuu

Piki piki bora yenye bei nafuu

DZUDZUKU

JF-Expert Member
Joined
Nov 8, 2012
Posts
3,931
Reaction score
2,141
Salam.
Wandugu, nipo mbeya sina utaalamu na idea kwenye vyombo vya Moto.

Nimepasua KIBUBU changu ambacho nilihifadhia pesa ya kununulia piki piki ya kwenda nayo kwenye mizunguko mbali mbali ya kimaisha.

Nina kama sh. Million 2, je ni piki piki ipi itanifaa?

Naombeni ushauri wenu,natanguliza shukrani kwenu.
 
Kama utaitumia mwenyewe, nunua boxer.
Lakini kama unajua itakuwa ya mob nakushauri ununue toyo power king.
 
Kama utaitumia mwenyewe, nunua boxer.
Lakini kama unajua itakuwa ya mob nakushauri ununue toyo power king.

Itakuwa personal item.
Boxer ni 2 millions plus, me nna 2m.

Na kwa nini iwe boxer na isiwe Honda and the like?

uimara na ubora ni vipaumbele vyangu huku nikibanwa na price. ( low cost maximum benefit)
 
Itakuwa personal item.
Boxer ni 2 millions plus, me nna 2m.

Na kwa nini iwe boxer na isiwe Honda and the like?

uimara na ubora ni vipaumbele vyangu huku nikibanwa na price. ( low cost maximum benefit)

Kama ungeweza kuongoza hiyo chenchi. Ila kama ndio hivyo basi
 
Boxer ni pikipiki bora pia consumption yake ya petrol ni ndogo sana sana. Hauta umia katika hili. Pia boxer inadumu kwasababu imetengenezwa kwa uimara. Boxer inatengenezwa na company inayotengeneza bajaj za TVS. Pia kwa speed si mchezo man.

Ila angalizo......spare za boxer ni expensive kama wewe si mtunzaji.

Ongeza chapaa kidogo uchukue chuma usitembee kwa mguu kijana.......changamka.
 
Boxer ni pikipiki bora pia consumption yake ya petrol ni ndogo sana sana. Hauta umia katika hili. Pia boxer inadumu kwasababu imetengenezwa kwa uimara. Boxer inatengenezwa na company inayotengeneza bajaj za TVS. Pia kwa speed si mchezo man.

Ila angalizo......spare za boxer ni expensive kama wewe si mtunzaji.

Ongeza chapaa kidogo uchukue chuma usitembee kwa mguu kijana.......changamka.

Nashukuru ndugu kwa kuniambia KWA NINI.
 
Nunua GSM 125 price yake ni 1.7 M hadi 1.6 me, hutajutia uamuzi wako, inanguvu ya ajabu unapanda kitonga na namba 4 hadi 5. Fuel consumption haipishani sana na boxer, pia spare zake ni cheap kuliko nyingine. Other benefits: Iko very comfortable inapita njia yoyote, ukinunua spare yake utaibadilisha baada ya mwaka au miezi mingi tu. Period!
 
Nunua GSM 125 price yake ni 1.7 M hadi 1.6 me, hutajutia uamuzi wako, inanguvu ya ajabu unapanda kitonga na namba 4 hadi 5. Fuel consumption haipishani sana na boxer, pia spare zake ni cheap kuliko nyingine. Other benefits: Iko very comfortable inapita njia yoyote, ukinunua spare yake utaibadilisha baada ya mwaka au miezi mingi tu. Period!

Nimejaribu kutafuta picha nimeikosa.
 
Mkuu kwa ushauri nunua Honda 125 huwa ziko poa sana ni soundless, inatembea unavyotaka,pia ni imara kwa parts zake kila vifaa vyake kama itatokea ukaharibu maybe ajali spare ziko juu kidogo kuliko pkpk zilizozoeleka za kichina,na unaweza kutembea safari ndefu bila kuchoka kwa kuwa haina vibration maana pkpk nyingi za kichina unapoendesha kila unapovuta wese vibration mpaka pum_u zinauma ila kwa Honda ni raha tupu mkuu,ukiichukua leta majibu hapa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom