Harakati za kijana mwenye uchu sana na madaraka zimeendelea kukumbwa na mapigo makubwa kutokana na ya chama chakeCHAMA CHA MAGAMBA.Pigo la kwanza nile alipopigwa stop ya kuzunguka mikoani kwa nembo yachama chao na Kinana,na la pili ni kutokumbukwa kupewa u-WAZIRI kamili na Kikwete.Kwa mapigo haya ni dhairi kuwa sasa ndoto zake za kuutafuta urais wa nchi hii zinazidi kuota mbawa.