Hismastersvoice
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 20,451
- 24,914
Ujio wa AFCON nchini ni fursa kwa mji wa Dodoma, Dodoma ni mji mkuu wa Tanzania, lakini hauna uwanja wa michezo wa serikali baada ya uliokuwepo kuporwa na CCM kama ilivyotokea kwenye miji mingine.
CCM inataka kutumia pesa za umma kuuendeleza uwanja wake (haramu) wa Arusha badala ya kuzitumia kuujenga uwanja mpya wa Dodoma ambao ulikusudiwa uwe na uwezo wa kuingiza watazamaji wasiopungua elfu sabini(sic) kwenye eneo la Nzuguni.
Tukumbuke CCM imekuwa kikwazo huko Mwanza kwa ujenzi wa uwanja wa serikali ukihofia uwanja walioupora utakosa wateja.
Watanzania tupige kelele tukidai uwanja wa serikali ujengwe Dodoma ili utumike wakati wa AFCON.
CCM inataka kutumia pesa za umma kuuendeleza uwanja wake (haramu) wa Arusha badala ya kuzitumia kuujenga uwanja mpya wa Dodoma ambao ulikusudiwa uwe na uwezo wa kuingiza watazamaji wasiopungua elfu sabini(sic) kwenye eneo la Nzuguni.
Tukumbuke CCM imekuwa kikwazo huko Mwanza kwa ujenzi wa uwanja wa serikali ukihofia uwanja walioupora utakosa wateja.
Watanzania tupige kelele tukidai uwanja wa serikali ujengwe Dodoma ili utumike wakati wa AFCON.