Picnic ya wanajamiforums

duu wee Steve Dii umenifanya niloff in nimechekaje hapo kwenye red
 
Last edited by a moderator:
Mkuu kumbe unafuatiliaga comment zangu? Mzee Mweupe ni mtu maarufu sana hapa Namanyele, ni jina kama lako lile la kwenye cheti

Khaaaa....kwa nini umeniuliza kama nafuatiliaga comment zako? Tuanzie hapo kwanza then tutakuja kwenye hilo la majina kwenye vyeti.
 
Mambo haya no mazuri ila yataleta kusemana hapa mjengoni
 
Je yeye akizimika flag??!!!
Na hivi ni porini, atachukuliwa na ukizingua unakula nakoz!!!!

We jiandae naye kwa kishirikiana na yeye awe katika mood basi huo ndio muafaka la sivyo ntachukua namba na kuja kumalizana naye kitaa!!!!

hahahahha chezea masai weye
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…