Candid Scope
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 11,883
- 6,884
Na hii kitu ilishaletwa hapa jamvini!!!!Yale yaleeeeee,nilitaka kushangaa leo kusiwe na siredi ya kanumba kweli?
Matendo gani,KULAWITI?m/mungu amlipe kutokana na matendo yake.
Hii kanumbaism inachosha sasa hebu tufikirie mambo mengine in other words waache wafu wazike wafu wenzao
Kama kuna mada yaniboa au kunichosha huwa sina haja ya kuisoma au kuchangia, nawaachia wengine, kwanini nilalamike?
Majibu yako yaonesha ukomavu, watu wote wangekuwa hivi...............Nimekuelewa mpwa nisamehe tuendelee kusherehekea muungano wetu wa bara na ziwani
Lulu alidanganyiiiika.
Hili tukio ni fundisho kwa wale jamaa wanaopenda ndogo ndogo na kwa ndogo ndogo zinazopenda chipsi kuku.
Majibu yako yaonesha ukomavu, watu wote wangekuwa hivi...............
Hii kanumbaism inachosha sasa hebu tufikirie mambo mengine in other words waache wafu wazike wafu wenzao