G-Funk
JF-Expert Member
- Feb 10, 2022
- 2,403
- 5,534
Ishu ya barabara iko known kwa wengi. Mbezi siku nyingi watu waliarifiwa na kupewa mipunga wasepe. Sio kitu cha kurupukurupu kama hapo Ngorongoro. Isitoshe kupisha upanuzi wa barabara ni maendeleo ambayo tunayashuhudia kila mara sio jambo geni.Busara ya nini wakati washaambiwa miezi kibao imepita sasa hivi. Busara hiyo hiyo ingetumika MBEZI tungepata barabara nzuri??
Acheni ujuaji wa kifala nyie.
Ila swala lakufukuza watu ili uingize mgeni kwenye eneo la hifadhi awinde kusafirisha nyama na kujenga hotel huo si uungwana kabisa. Huwezi sema unalinda hifadhi kwa kufukuza Mmasai na kuleta Mwarabu ili aje kuvuna wanyama. Huo ni ushenzi tu na ubinafsi wa hali ya juu kwa sababu hata huyo mwarabu ukienda nchini kwake huwezi kumilikishwa ardhi yao kwa wao kufukuzwa ili wewe upewe.