PICHA: Zamani zamani kidogo katika picha

PICHA: Zamani zamani kidogo katika picha

b2f5e575d24d130e9593e888fde0c1a9.jpg
umenikumbusha kijijin mkuu
 
Dah iseee vyote nimetumia nilikuwa atari
Hapo kwenye DH .... Dingi hana huwezo ...hahahaahahahaha
Mkuu enzi hizo niko darasa la tatu mwanafunzi mmoja mtoto wa mwalimu kaja shule kavaa DH,nilikua mnyonge siku nzima kwa wivu.naruni home mama ananiuliza kama naumwa nikampataa rifa za hizo raba alizo nunuliwa jamaa,hizo raba ilikua ni shidaaa ukiwana nazo
 
Mtaani kwetu ndio kulikuwa town lazima giza likiingia macheck~do wajazane kisa kuna karabai za kutosha.
images-456.jpeg
images-1422.jpeg
images-760.jpeg
[ATTAC
ATTACH=full]417612[/ATTACH]
Kiukweli nilikuwa ninapenda sana taste ya chakula kilichopikwa kwa Kimbo.
 
Mojawapo kati ya picha zote izo nimewah kutumia
 
Mm hata cvielewi ivo v2 zaid ya huyo anaekoga
 
Hawa watoto wa kisasa....
Walio zaliwa kipindi cha vidonge na sindano......
Uwwwiiiii........
Hakuna anaejua hizo picha....
 
Back
Top Bottom