PICHA: Zamani zamani kidogo katika picha

PICHA: Zamani zamani kidogo katika picha

Viongoz wetu wametoka mbal kwel cha kale dhahabu
1476389188828.jpg

Kama T 2016 JPM
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Kwa sababu ya kuwa Na matundu mengi kila nati inaingiza kichwa, pamoja Na maadili yaliyotukuka enzi hizo hata mbele ya maza dingi anakuagiza " leta spana malaya iko hapo juu ya kabat"
Kipindi kile hawa watoto wa kisasa walikua hawaja tuharibia lugha aiseeee......[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Maadili yalikuwepo 100%
 
Mabasi Morogoro tukikuwa na MORETCO (Mali ya serikali) afu kulikuwa na MZALENDO, MTUKWAO et al.
 
0-1elimu3-jpg.417330

Bisinzibwa ready for the class. Nilipiga sana hivyo. Home again x2 when i shall see my home agani, when i shall see my brother and sisters never forget my homeeeeee.
 
Hapo kwenye DH hapo we acha tu
Hebu nieleze hicho kiatu ni miaka ipi? wengine tulikulia shamba na boarding. basi. Enzi hizo hata mtoto wa waziri mnaazimana nguo hakuna cha nani wala naniii.
 
UOTE="Ushimen, post: 18041179, member: 107971"]View attachment 417616
Kama T 2016 JPM
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23][/QUOTE]
Hahahahha zaman saloon zlkua hakuna nn mana kwa kufuga ndevu na nywele n hatar tofaut na saiv watu wamekuwa masharo
 
Back
Top Bottom