irk
JF-Expert Member
- Jun 5, 2016
- 486
- 390
Ndo ilionikuza.[emoji480] [emoji480] hii unaielewa
Ndo ilionikuza.[emoji480] [emoji480] hii unaielewa
Sikuizi hivyo viatu vimeludi watu nanauziwa sh25000 na zaidi nacheka sana HDDH Dingi Harosto.
Actually tafsiri hiyo ya DH ilikuja baada ya mitumba kuingia na dh kuonekana ya kiboya.
Ndio mkuu, tulikiwa tunatinga nayo hata harusiniSix meno?
Kweli aiseeAngalia enzi hizo hizi zView attachment 417990View attachment 417991ilikuwa na thamani sana!
Rim ya gari ilikuwa inachukuliwa halmashauri tena ikiletwa viranja wote mnaitwa kwenda kuipokea na kaka mkuu wa shule😀😀😀hivi hizi kengele za shule ya msingi ni uniform kwa nchi nzima tokea kitambo
mgongo wa punda iliitwaView attachment 417984usafiri wa enzi hizo
Hiyo mlango ulikuwa unafunguka kinyume.
Da wengine tulikua tunaviona tu. Mitumba haikuwepo waliokuwa wakipendeza walikuwa wachache wenye ndugu masista na mapadre.Hiyo nimeivaa darasa la nne 1993, nilikuwa naiaminia sana sasa kuna mtu akaidifine DH et "dada halima" nilirusha ngumi aiseee
spana malayaView attachment 417360 Tuliita Spana Malaya😀