Lupamba's grandson
JF-Expert Member
- Jan 9, 2015
- 1,230
- 1,199
Dah umenikumbusha mbali sana nimepanda sna basi za Tahfif toka arusha kwenda Tanga
Dah umenikumbusha mbali sana nimepanda sna basi za Tahfif toka arusha kwenda Tanga
Hiyo nimeivaa darasa la nne 1993, nilikuwa naiaminia sana sasa kuna mtu akaidifine DH et "dada halima" nilirusha ngumi aiseeeHebu nieleze hicho kiatu ni miaka ipi? wengine tulikulia shamba na boarding. basi. Enzi hizo hata mtoto wa waziri mnaazimana nguo hakuna cha nani wala naniii.
Hahaa ilikuwa simu kuubwa iliyojaa button wakati display ndogo kama calculatorUmenkumbsha zaman aiseeee zirud tuu tuachane na za kupangusa
Hahhahahha af n ngumu balaaHahaa ilikuwa simu kuubwa iliyojaa button wakati display ndogo kama calculator
DH Dingi Harosto.Hiyo nimeivaa darasa la nne 1993, nilikuwa naiaminia sana sasa kuna mtu akaidifine DH et "dada halima" nilirusha ngumi aiseee
Imekaa poa. Tahfif ndo walikuja kuwa Air Shengena? Kulikua na TAWFIQ nalo la waarabu wa Tanga kama skosei.
Kumbe jana tu? Ndiyo maana sikifahamu. Niulize Raizoni, kata mbuga Arusha tu Moshi na pekosi hapo tutaelewana.Hiyo nimeivaa darasa la nne 1993, nilikuwa naiaminia sana sasa kuna mtu akaidifine DH et "dada halima" nilirusha ngumi aiseee
Six meno?Alie Na picha picha ya viatu flan tuliviita njumu coz chin kulikuwa meno afu pemben vimandikwa 'world cup 94' tupien wakuu
Huyu ni Dr.tulia au makengeza yangu
Umesahau mara hii kua nilikutangulia darasa 1Unasoma Form ngapi?
Hii sisi tuliita "WINGI SI HOJA".View attachment 417360 Tuliita Spana Malaya😀
[emoji480] [emoji480] hii unaielewaMm hata cvielewi ivo v2 zaid ya huyo anaekoga
Hiyo naisi siyo phonex ni swalaDaah kwenye phonex hapo kuna ka pochi flan sijakaona