Picha za Zitto: Before and after Umra

Picha za Zitto: Before and after Umra

Zuberi si hajaoa??, mbona anatafuta balaaa angeoa kwanza.
....
 
Zuberi si hajaoa??, mbona anatafuta balaaa angeoa kwanza.
....
huwa najiuliza huyu bwana haoi kwa nini wakati umri na pesa vinam ruhusu,sipati jibu! Not personal,but serious!
 
Bibi FaizaFoxy tunahtaji ufafanuzi zaidi juu ya uwepo wa hicho kijumba tafadhari.
Nauliza ili nijifunze sio kwa kejeri kama wengine wafanyavyo.
Wakuu Kigogo na Marire naomba busara itawale ndimi zenu, heshimuni ibada za wenzenu jamani.
 
Last edited by a moderator:
Maalim ukirudi huko....mungu akupe wepesi ishaalah upate nicah
 
Bibi FaizaFoxy tunahtaji ufafanuzi zaidi juu ya uwepo wa hicho kijumba tafadhari.
Nauliza ili nijifunze sio kwa kejeri kama wengine wafanyavyo.
Wakuu Kigogo na Marire naomba busara itawale ndimi zenu, heshimuni ibada za wenzenu jamani.

Baada ya hizo picha chini yake kunamaelezo ungeyasoma kwana huenda swali lako litaibiwa humo.


Sent from my iPad using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:
hizo nguzo tatu nasikia zinawakilisha miungu mitatu waliokua wanaabudiwa na wapagani wa pale toka kale. Sasa najiuliza mbona waislamu wa sasa wameziacha na wanaendelea kuzi enzi? Anaejua zaidi naomba anielimishe tafadhari. Cc FaizaFoxy at al.
 
Last edited by a moderator:
humo ndani ya hilo jumba jeusi kuna nini?na kwanini wasiweke kitambaa cheupe?

..........kitu cheupe kikiakisi mwanga inakuwaje ?...........unataka watu wawe wanaswali na miwani tinted ?............au kitaamba cheupe kina advantage gani ?
Uliza maswali logic.
 
Back
Top Bottom