humo ndani ya hilo jumba jeusi kuna nini?na kwanini wasiweke kitambaa cheupe?
Dah...imekuwa darsa nzuri sana kwangu,kiongozi.TnxJionee mwenyewe:
This what we usually get to see when the King of Saudi Arabia visits the Kaaba in Makkah
A drawing of the layout of the Kaaba
Plan and Structure
- The space can accommodate about 50 people
Source: Ever wondered how the Kaaba looked inside - Tohir Solomons
Kama Kaaba ni patakatifu kabisa kwa uislam ndio anaingia mfalme wa saudia tu? Kwani yeye ndio kiongozi wa kiroho wa waislaam wote au ni kiongozi wa dola ya saudia tu! Je zitto angeweza kuingia Kaaba?Jionee mwenyewe:
![]()
This what we usually get to see when the King of Saudi Arabia visits the Kaaba in Makkah
![]()
A drawing of the layout of the Kaaba
![]()
Plan and Structure
![]()
Photo of Inside the Kaaba. Interior matches the first photo
Some details of the interior the Kaaba:
- There are three pillars inside
- There is a small table on the side to put items like perfume and incense burners.
- There are two lantern-type lamps hanging from a cross beam near the ceiling
- There are no electric lights inside
- The interior walls are clad with marble half-way to the roof.
- The entire floor is of marble except for a small portion which is called Rukhamat Humra.
- Tablets with Quranic inscriptions are inset in the marble.
- The top part of the walls is covered with a green cloth decorated with gold embroidered Quranic verses.
- There are no windows inside
- There is only one door
- The space can accommodate about 50 people
Source: Ever wondered how the Kaaba looked inside Tohir Solomons
Kama Kaaba ni patakatifu kabisa kwa uislam ndio anaingia mfalme wa saudia tu? Kwani yeye ndio kiongozi wa kiroho wa waislaam wote au ni kiongozi wa dola ya saudia tu! Je zitto angeweza kuingia Kaaba?
Kama Kaaba ni patakatifu kabisa kwa uislam ndio anaingia mfalme wa saudia tu? Kwani yeye ndio kiongozi wa kiroho wa waislaam wote au ni kiongozi wa dola ya saudia tu! Je zitto angeweza kuingia Kaaba?
Faiza, pale pembeni mwa Ka'aba umesahau kuweka picha ya lile jiwe(al-ajar al-Aswad) lililogeuka rangi toka nyeupe kwenda nyeusi kwa ajili ya kunyonya dhambi za bin-Adam!
Mnafki Zitto hata siku akienda kuzika kuna wale wanaoingia kwenye kaburi na juu linafunikwa shuka bila shaka huyu jamaa atataka apigwe picha huko kaburini na kuipost instagram.
Lilikuwa jeupe lini ?.............au unafananisha na ibada ya 'damu ya Yesu' !??
Kumbe hata jk akienda anaweza kuingia kaaba!.. Wanaingia wanasiasa wakubwa tu au waislaam mashuhuri maana sioni namna ya kila muislaam kuingia kaaba wakati wa hija. Ingekua vizuri kumuona ayatollah wa iran na mfalme wa saudia kwa pamoja humo ndani kuleta umoja.Kwani pale nyuma hujamuona Ex presda Pervez Musharraf wa Pakistan?
Twin kumbe umo,twende tukahiji
Ahahahahaha we jamaa huwa ni kiboko.Yaani wewe ndo futuhi kabisa..Al Haj? Yaani umezidiwa na mahaba mpaka kona unasema penati
kuwa Alhaj kijana ni kazi ngumu, ila amechagua fungu jema.
Jamani ufanunuz kwa walioenda hijja hiyo picha ya pil,samahan lkn