meningitis
JF-Expert Member
- Nov 17, 2010
- 8,349
- 4,674
Hivi kulikuwa na haja gani ya kuweka au kutengeneza hiyo video?
Hivi kulikuwa na haja gani ya kuweka au kutengeneza hiyo video?
No siko nae mkuu, niko na AspirinNajua mpo wote muamshe basi..mwambie nafac yake iko wazi
Sasa mkuu asprin usiku huu au ndio anakushusha homaNo siko nae mkuu, niko na Aspirin
Ni mume wanguSasa mkuu asprin usiku huu au ndio anakushusha homa
Sasa badala umkumbatie umpe joto wewe unachat jf saa kumi alfajiri hii..alafu akikuacha useme `wanaume sio watu `Ni mume wangu
basi ni mremboPoyoyo nyanya Yako mwanaume mzima unamuonea wivu Wema kuitwa mrembo Ulitaka wewe Ndio uitwe mrembo
Hahaaaaaaaaaa ,,Idriss alipigwa hela yote ya big brother ha ha ha ha saizi kawa the comedy
atakuwa anatoa ndogo wanaenda kujaribu taqor la kichina linakuwaje wakati unakula ndogoAtakuwa na mganga mzuri. Maana vijana wengi wanakuambia wakipata hela lazima wamfate madam
Ndo mi huwa najiuliza na kusema kuna wanaume wengine wanapaswa kupimwa mkojo! Why Wema? Kama ni uzuri mbona wapo warembo wengi ambao hata Wema hafikii nusu yao. Na bado wanaweza kupatikana kwa gharama ndogo na siyo hizo wanakwenda kumrundikia Wema! Wanaume hapa tukubali tuna matatizo.