Picha za wanaosinzia Bungeni

Picha za wanaosinzia Bungeni

attachment.php


:faint:Jamii forums kuna mbambo, maana hii taswira inaeleza mengi zaidi kuliko za waandamizi wake wasinziaji. :faint:

Wema ana nguvu zake na uzoefu si mchezo bana.

Wee mtu hana msuli hauna unaenda kununua Kifaru cha Mrusi, T44?

Mwisho wake ni huu sasa: Khaaa, hili DOMO la Upawa 🙂
 
naunga mkono hoja, kama ccm walivyo kimbelembele kuunga mkono hoja nyepesi.
 
attachment.php


:faint:Jamii forums kuna mbambo, maana hii taswira inaeleza mengi zaidi kuliko za waandamizi wake wasinziaji. :faint:
lAKINI HUYU SI ALIKUWA NA KALE KAUGONJWA NASIKIA TANGU APATE KIKOMBE SIKUHIZI HAANGUKI HOVYO....AU KAZI YA ULINZI WA MAREHEMU...
 
Hapa kiboko,iwe kila siku inawekwa then iwe na maelezi ni tarehe gani na wakati gani kwa maana ya asubuhi,mchana au jioni ili watu wasiseme tuna copy na kupaste picha zile zile.
 
wema ana nguvu zake na uzoefu si mchezo bana.

Wee mtu hana msuli hauna unaenda kununua kifaru cha mrusi, t44?

Mwisho wake ni huu sasa: khaaa, hili domo la upawa 🙂

nafikiri tatizo ni kuvimbiwa na kula bila kazi.
 
Wakuu JF,<br />
Nadhani kazi yetu nzuri tusiifanye ikapote na kusahaulika. Ndani ya mwezi mmoja tumeona a kujadili picha zaidi ya tano za bungeni za watu wamelala na zingine zaidi ya nusu ya wabunge wakiwa hawamo.<br />
<br />
Nina wazo ambalo sijajua mtalipokeaje.<br />
<br />
Ninasema kwamba MODs waanzishe jukwaa rasmi likiwa na jina kama vile MATUKIO BUNGENI ili picha zote za wasinziaji ziwekwe huko. Kuna watu hawakupata lile gazeti la Waziri Wasira akiuchapa usingizi. Sanasana mwenzetu mmoja ameifanya picha ile kama Avatar yake.<br />
<br />
Hivyo mtu akijua kuwa akija JF atapa picha zote za wasinziaji, basi hatakuwa na wasiwasi. Kwani mwingine hata thread hataki kuzisoma, anataka ushahidi wa kuona kama ni kweli mheshimiwa mmoja aliuchapa usingizi hadi <b>anafukuza mbu </b>kama alivyosema Mh. Kafulila jana!<br />
<br />
Nawasilisha
<br />
<br />
Itakuwa pouwa hiyo!
 
Ninaomba Watanzania wawawajibishe Wabunge ambao wamekuwa wanalala bungeni kwenye hili Bunge la 10.Siyo haki ya sisi kuwatuma wakatuwakilishe lakini wao wanakwenda Kulala.
 
<img src="https://www.jamiiforums.com/attachment.php?attachmentid=34915&amp;d=1298754770" border="0" alt="" /><br />
<br />huyu nae mbunge?
hii lini tena.?duh
<br />
<br />
 
<img src="https://www.jamiiforums.com/attachment.php?attachmentid=34915&amp;stc=1" attachmentid="34915" alt="" id="vbattach_34915" class="previewthumb" /><br />
tuanze na huyu jamaa
<br />
<br />
Kazi ipo ,kwa hali zaidi,kasi zaidi na nguvu zaidi tutafika tu
 
<img src="https://www.jamiiforums.com/attachment.php?attachmentid=34915&amp;stc=1" attachmentid="34915" alt="" id="vbattach_34915" class="previewthumb" /><br />
tuanze na huyu jamaa
<br />
<br />
Anatafakari kwa makini saaana huyu. Ingekuwa kweli kalala ningeshauri apelekwe Loliondo kupata kikombe kwa 'bhabhu'.
 
Wema ana nguvu zake na uzoefu si mchezo bana.

Wee mtu hana msuli hauna unaenda kununua Kifaru cha Mrusi, T44?

Mwisho wake ni huu sasa: Khaaa, hili DOMO la Upawa 🙂
Mkuu huyu dogo hana hadhi ya ku upload picha yake hapa labda kule jukwaa la celebrety.
 
Wema ana nguvu zake na uzoefu si mchezo bana.&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
Wee mtu hana msuli hauna unaenda kununua Kifaru cha Mrusi, T44?&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
Mwisho wake ni huu sasa: &lt;a href=&quot;https://www.jamiiforums.com/attachment.php?attachmentid=34919&amp;amp;d=1310764699&quot; target=&quot;_blank&quot;&gt;&lt;img src=&quot;https://www.jamiiforums.com/attachment.php?attachmentid=34919&amp;amp;amp;d=1310764699&quot; border=&quot;0&quot; alt=&quot;&quot; /&gt;&lt;/a&gt; Khaaa, hili DOMO la Upawa &lt;img src=&quot;/images/styles/JamiiForums/smilies/smile.png&quot; border=&quot;0&quot; alt=&quot;&quot; title=&quot;Smile&quot; smilieid=&quot;307&quot; class=&quot;inlineimg&quot; /&gt;
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
Kuna maradhi flani huitwa sleeping sickness au trypanosomiasis yanayoweza kumlaza mtu akiwa anaogelea au anakimbia !
 
Yan kama mheshmiwa mmoja ndo na mate kabsa,mdomo mwaaa. Kha,posho hzi..
 
Sasa wanachangiaje hoja ? Au wanachangia kwa ndoto nini ? Ukitaka kuwatoa usingizi wabunge, tamka kitu kuhusu kufuta posho, wee! watakulilia machozi !
 
Halafu wanaweza kuchafua hewa hawa,unajua ukilala air hole inakuwa open muda wote..
 
Back
Top Bottom