Sikonge
JF-Expert Member
- Jan 19, 2008
- 11,633
- 6,229
lAKINI HUYU SI ALIKUWA NA KALE KAUGONJWA NASIKIA TANGU APATE KIKOMBE SIKUHIZI HAANGUKI HOVYO....AU KAZI YA ULINZI WA MAREHEMU...![]()
:faint:Jamii forums kuna mbambo, maana hii taswira inaeleza mengi zaidi kuliko za waandamizi wake wasinziaji. :faint:
nimecheka sana, yaani hata raisi kijana nae anauchapa[/QUOTE
Kulala yeye binafsi sio issue kwa mtazamo wangu. Issue ni pale atakapolilaza taifa letu kwa style hii.
shughuli!
<br />Wakuu JF,<br />
Nadhani kazi yetu nzuri tusiifanye ikapote na kusahaulika. Ndani ya mwezi mmoja tumeona a kujadili picha zaidi ya tano za bungeni za watu wamelala na zingine zaidi ya nusu ya wabunge wakiwa hawamo.<br />
<br />
Nina wazo ambalo sijajua mtalipokeaje.<br />
<br />
Ninasema kwamba MODs waanzishe jukwaa rasmi likiwa na jina kama vile MATUKIO BUNGENI ili picha zote za wasinziaji ziwekwe huko. Kuna watu hawakupata lile gazeti la Waziri Wasira akiuchapa usingizi. Sanasana mwenzetu mmoja ameifanya picha ile kama Avatar yake.<br />
<br />
Hivyo mtu akijua kuwa akija JF atapa picha zote za wasinziaji, basi hatakuwa na wasiwasi. Kwani mwingine hata thread hataki kuzisoma, anataka ushahidi wa kuona kama ni kweli mheshimiwa mmoja aliuchapa usingizi hadi <b>anafukuza mbu </b>kama alivyosema Mh. Kafulila jana!<br />
<br />
Nawasilisha
<br /><img src="https://www.jamiiforums.com/attachment.php?attachmentid=34915&d=1298754770" border="0" alt="" /><br />
<br />huyu nae mbunge?
hii lini tena.?duh
<br /><img src="https://www.jamiiforums.com/attachment.php?attachmentid=34915&stc=1" attachmentid="34915" alt="" id="vbattach_34915" class="previewthumb" /><br />
tuanze na huyu jamaa
<br /><img src="https://www.jamiiforums.com/attachment.php?attachmentid=34915&stc=1" attachmentid="34915" alt="" id="vbattach_34915" class="previewthumb" /><br />
tuanze na huyu jamaa
<br /><br />Wema ana nguvu zake na uzoefu si mchezo bana.<br /><br />
<br /><br />
Wee mtu hana msuli hauna unaenda kununua Kifaru cha Mrusi, T44?<br /><br />
<br /><br />
Mwisho wake ni huu sasa: <a href="https://www.jamiiforums.com/attachment.php?attachmentid=34919&amp;d=1310764699" target="_blank"><img src="https://www.jamiiforums.com/attachment.php?attachmentid=34919&amp;amp;d=1310764699" border="0" alt="" /></a> Khaaa, hili DOMO la Upawa <img src="/images/styles/JamiiForums/smilies/smile.png" border="0" alt="" title="Smile" smilieid="307" class="inlineimg" />