Nikupateje
JF-Expert Member
- Dec 22, 2009
- 1,334
- 988
Wakuu JF,
Nadhani kazi yetu nzuri tusiifanye ikapote na kusahaulika. Ndani ya mwezi mmoja tumeona a kujadili picha zaidi ya tano za bungeni za watu wamelala na zingine zaidi ya nusu ya wabunge wakiwa hawamo.
Nina wazo ambalo sijajua mtalipokeaje.
Ninasema kwamba MODs waanzishe jukwaa rasmi likiwa na jina kama vile MATUKIO BUNGENI ili picha zote za wasinziaji ziwekwe huko. Kuna watu hawakupata lile gazeti la Waziri Wasira akiuchapa usingizi. Sanasana mwenzetu mmoja ameifanya picha ile kama Avatar yake.
Hivyo mtu akijua kuwa akija JF atapa picha zote za wasinziaji, basi hatakuwa na wasiwasi. Kwani mwingine hata thread hataki kuzisoma, anataka ushahidi wa kuona kama ni kweli mheshimiwa mmoja aliuchapa usingizi hadi anafukuza mbu kama alivyosema Mh. Kafulila jana!
Nawasilisha
Nadhani kazi yetu nzuri tusiifanye ikapote na kusahaulika. Ndani ya mwezi mmoja tumeona a kujadili picha zaidi ya tano za bungeni za watu wamelala na zingine zaidi ya nusu ya wabunge wakiwa hawamo.
Nina wazo ambalo sijajua mtalipokeaje.
Ninasema kwamba MODs waanzishe jukwaa rasmi likiwa na jina kama vile MATUKIO BUNGENI ili picha zote za wasinziaji ziwekwe huko. Kuna watu hawakupata lile gazeti la Waziri Wasira akiuchapa usingizi. Sanasana mwenzetu mmoja ameifanya picha ile kama Avatar yake.
Hivyo mtu akijua kuwa akija JF atapa picha zote za wasinziaji, basi hatakuwa na wasiwasi. Kwani mwingine hata thread hataki kuzisoma, anataka ushahidi wa kuona kama ni kweli mheshimiwa mmoja aliuchapa usingizi hadi anafukuza mbu kama alivyosema Mh. Kafulila jana!
Nawasilisha