Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 61,367
- 100,408
Kucheza CCM kura CHADEMA
Yaani hayo ndio maadhimisho ya kitaifa? Mbona idadi ya watu haifikii ile ya mikutano ya Chadema kwenye kata? Hizi ni dalili mbaya sana za "kifo" cha chama. Maana pamoja na wasanii,ngoma na misosi hali imekuwa hivyo?
Mbona haya majina yao hayanukii u-Tz?
90% ya audience ilikuwa imetoka nje ya jiji la mbeya,watu wa jiji la mbeya walikuwa busy na kuangalia/kusikiliza MPIRA WA TIMU YAO PENDWA
Hao ni CCM Tanzania nzima (yote kabisa), sio Mbeya pekee. Ukizangatia watumishi wote wa umma waliagizwa kuhudhuria kwa hiyo don't read beyond the reality.Mm huwa nackia mbeya hakuna ccm. Hawa ni waliopata muda je wale waliobaki majumbani. Si rahisi kama watu mfikiriavyo et ccm kwisha....
Yaani hayo ndio maadhimisho ya kitaifa? Mbona idadi ya watu haifikii ile ya mikutano ya Chadema kwenye kata? Hizi ni dalili mbaya sana za "kifo" cha chama. Maana pamoja na wasanii,ngoma na misosi hali imekuwa hivyo?
Sawa ila jaribu kidogo kudanganya karibu na ukweli. CCM sherehe wamefanya asubuhi mpaka kama saa 7. Mpira wa Yanga na Mbeya city ulianza saa 10:30 jioni. Connect dots.