Tukubali tu kuwa ccm mbeya ipo imara bado watu kati ya waliopokea kadi leo wengine ni vijana wa mwanjelwa kabisaa. Mfano kuna kijana anaitwa Aden na mwingine anaitwa yusuf hawa ni wafanya biashara pale mwanjelwa. Mi nipo mby tusijipe matumaini tuangalie ni namna gani ya kupambana.