Chief-Mkwawa
Platinum Member
- May 25, 2011
- 32,230
- 44,262
Leo motorola wamezindua simu hizo hapo juu. Kama unavyojua hapa jamiiforums tunairecomend sana moto g kama simu nzuri ya midrange 300,000 hadi 500,000. Hebu tuangalie hii simu mpya ya moto g ni nzuri kama wenzake waliotangulia?
specification
-kioo inch 5 cha HD 720x1280
-ram 2gb au 1gb
-internal 8gb au 16gb
-processor snapdragon 410 quadcore cortex a53
-camera ya nyuma 13mp na mbele 5mp
-battery 2470mah
bei
Version ya 8gb na 1gb ram ni dola 180 na version ya 16gb na 2gb ram ni dola 220.
Kibongo bongo kama itakuja itakuwa around 450,000 hadi 550,000 hv ukieka na kodi.
Mnaonaje wadau still motorola moto g ni simu bora kwenye range hio ya bei?
Pia leo motorola wamezindua flagship yao motorola moto x style ambayo inapambana na wakubwa kama galaxy s6, iphone 6 na lg g4.
specs
-ram 3gb
-internal storgae 32gb au 64gb
-processor sd808
-camera 21mp na mbele 5mp
-battery 3000mah
-kioo 5.7 inches QHD
bei
Hawajatangaza ila tips zinasema itakuwa ni rahisi kwa dola 200 au 300 compare na flagship za makampun mengine.
Hivyo itakuwa ni around dola 300 hadi 400. Kwa huku kwetu huenda itakuwa around 800,000 hadi 900,000
Je unaonaje moto x amempiga bao oneplus kwa flaghip ya bei nafuu?
specification
-kioo inch 5 cha HD 720x1280
-ram 2gb au 1gb
-internal 8gb au 16gb
-processor snapdragon 410 quadcore cortex a53
-camera ya nyuma 13mp na mbele 5mp
-battery 2470mah
bei
Version ya 8gb na 1gb ram ni dola 180 na version ya 16gb na 2gb ram ni dola 220.
Kibongo bongo kama itakuja itakuwa around 450,000 hadi 550,000 hv ukieka na kodi.
Mnaonaje wadau still motorola moto g ni simu bora kwenye range hio ya bei?
Pia leo motorola wamezindua flagship yao motorola moto x style ambayo inapambana na wakubwa kama galaxy s6, iphone 6 na lg g4.
specs
-ram 3gb
-internal storgae 32gb au 64gb
-processor sd808
-camera 21mp na mbele 5mp
-battery 3000mah
-kioo 5.7 inches QHD
bei
Hawajatangaza ila tips zinasema itakuwa ni rahisi kwa dola 200 au 300 compare na flagship za makampun mengine.
Hivyo itakuwa ni around dola 300 hadi 400. Kwa huku kwetu huenda itakuwa around 800,000 hadi 900,000
Je unaonaje moto x amempiga bao oneplus kwa flaghip ya bei nafuu?