figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,492
- 54,895
- Thread starter
- #21
Mie najiuliza Nchimbi alikua hapo kama nani?Maana pia ndiye amesaini yale makubaliano na CDM.
Ukiachia Uwaziri alio nao vilevile Nchimbi ni mpambe na mshikaji wa Jk halafu ndo kichwa anacho kiamin, si unajua juzijuzi ndo kaongezea cheo kwenye jina lake? sasa hivi anaitwa Dr. Nchimbi. hahaaaaahahaaa..!! Mia